sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Awa ni watu walio kwenye muziki muda mrefu lakini kiuhalisia sio wasanii. Wanaupenda sana muziki lakini hawakuzaliwa kuwa wanamuziki.
1. Roma
Huyu jamaa ana kipaji chake ambacho uwa nikimsoma twitter nakiona. Mshikaji ni content creator wa level kubwa sana alafu ni ile natural sio wa darasani. Aina hii ya kipaji uwa kujipata ni ngumu kwa dunia ya tatu ila Roma ukimuweka nyumba yoyote ya ubunifu wa maudhui ni pesa. Muziki kiukweli mshikaji anafosi tu sio sehemu yake na watu walimpa sikio sababu ya content zake sio ile sanaa ya muziki. Akiweka uko nguvu ataiona pesa mara 10 ya muziki anaoukomalia.
2. Wakazi
Huyu ni msanii ambaye kama juhudi ndio njia ya kupata mafanikio basi angekuwa zaidi ya kina Rayvanny. Anapenda sana muziki especially hip-hop ila kipaji chake huko ni kidogo ni jambo ambalo amekuwa akili-deny lakini atakuja kubali baadae sana. Huyu ana talent ya kuanzisha mijadala, kufanya presentation na kuchimbua vitu visivyo zungumzika. Angekuwa anachukua ushauri wa wenye akili angeamia kwenye utangazaji haswa niche ya controverse ni ndani ya miezi mitatu atakuwa ni talk of the town. Ile attention wanampa twitter itaaamia mtaani.
3. Linex
Huyu dogo wa Kigoma angestaafu kuimba aamie kwenye kipaji chake halisi cha kuongea. Jamaa ni muongeaji mzuri na sehemu anayofiti zaidi ni mapenzi. Anaweza kuwa vyote mtangazaji wa vipindi vya mapenzi na mtoa mada kwenye events za mahusiano. Sijamfollow sehemu yoyote ila uwa nakutana na clip zake au screenshots akizungumzia mapenzi naona kabisa huyu anapishana na hela. Duniani hakuna niche inayouza kama mapenzi kuna hela za kutosha.
Nikipata time nitanzungumzia Vannila wa Ali Kiba pia.
Acha nirudi kwenye maokoto sasa.
1. Roma
Huyu jamaa ana kipaji chake ambacho uwa nikimsoma twitter nakiona. Mshikaji ni content creator wa level kubwa sana alafu ni ile natural sio wa darasani. Aina hii ya kipaji uwa kujipata ni ngumu kwa dunia ya tatu ila Roma ukimuweka nyumba yoyote ya ubunifu wa maudhui ni pesa. Muziki kiukweli mshikaji anafosi tu sio sehemu yake na watu walimpa sikio sababu ya content zake sio ile sanaa ya muziki. Akiweka uko nguvu ataiona pesa mara 10 ya muziki anaoukomalia.
2. Wakazi
Huyu ni msanii ambaye kama juhudi ndio njia ya kupata mafanikio basi angekuwa zaidi ya kina Rayvanny. Anapenda sana muziki especially hip-hop ila kipaji chake huko ni kidogo ni jambo ambalo amekuwa akili-deny lakini atakuja kubali baadae sana. Huyu ana talent ya kuanzisha mijadala, kufanya presentation na kuchimbua vitu visivyo zungumzika. Angekuwa anachukua ushauri wa wenye akili angeamia kwenye utangazaji haswa niche ya controverse ni ndani ya miezi mitatu atakuwa ni talk of the town. Ile attention wanampa twitter itaaamia mtaani.
3. Linex
Huyu dogo wa Kigoma angestaafu kuimba aamie kwenye kipaji chake halisi cha kuongea. Jamaa ni muongeaji mzuri na sehemu anayofiti zaidi ni mapenzi. Anaweza kuwa vyote mtangazaji wa vipindi vya mapenzi na mtoa mada kwenye events za mahusiano. Sijamfollow sehemu yoyote ila uwa nakutana na clip zake au screenshots akizungumzia mapenzi naona kabisa huyu anapishana na hela. Duniani hakuna niche inayouza kama mapenzi kuna hela za kutosha.
Nikipata time nitanzungumzia Vannila wa Ali Kiba pia.
Acha nirudi kwenye maokoto sasa.