Nilikuwa na mil54Ulikuwa nayo hiyo laki mbili?
Mmh uongoHeeee!!!kuna sheria ipo kabisa,wanasheria watatusaidia lakini ipo,ndio maana siku hizi ukikosea kutuma pesa na huyo mtu akawahi kuzitoa ukienda polisi,unafungua kesi ya jinai na akikamatwa ni kosa la jinai!!
Daaaaa!!!hata hili nalo hulifahamu!!poleeeMmh uongo
Mkuu ukikuta pesa imezidi au kupungua kwa account yako toa taarifa kwa mtoa huduma wako,unamkumbuka yule bwana aliyeenda kutoa pesa benki,nadhani ni Dar es salaam ,lengo la bwana yule lilikuwa kutoa laki mbili,lakini kwa bahati mbaya ATM ilikuwa mbovu ikaanza kutema pesa mfululizo hadi 11M naye kwa kujiona mjanja akazichukua,bwana yule alifungwa nadhani zaidi ya miaka miwili kwa kosa la wizi na kutokuwa mwaminifu!!.