Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,121
- 49,500
Mmmh, kiboko kama watakuwa wamebadirisha material ila sio kiboko ile ninayoijuwa mimi, hamna rangi mle
Sawa kapake plascon
Mmmh, kiboko kama watakuwa wamebadirisha material ila sio kiboko ile ninayoijuwa mimi, hamna rangi mle
Fundi kaniambia ndoo ya 20ltrs eti ni 180000 ni kweli au napigwa tena
ok, sawaSawa mkuu nitakutafuta nikihitaji
Sina uhakika na uaminifu wake,maana pana watu wao uangalia pesa ya leo na sio kujenga uaminifu.Kwann.Kwa dar bora uende kiwandani Alaf unapeleka vipimo vyake wanakukatia kulingana na vipimo vya mchoro wa nyumba yako hii inaepusha mambo ya kukata hovyo batiSawa mkuu au kwa mama wahenga nako nasikia ipo
Si wanayo warranty ya miaka 10?wafuateNinenunua bati 190 Kila moja shilingi 24500 kipindi hicho
Sawa mkuu nitakutafuta nikihitaji
Hao hawafai, nadhani badala ya ALAF kampuni ya DRAGON ni bora zaidi. Kama yupo aliezeka kwa bati ya DRAGON kutoka kiwandani kwao akapata shida ashuhudie.Chief pole sana hiyo kampuni ya Sunshire nilinunua hapo Bati 2021 January lkn leo bati hazifahi hiyo ni kampuni ya hovyo sana View attachment 2326295
ni DRAGON?Watu wakisikia mchina wanadharau. Mwisho wa siku wanapigwa.
Nilinunua kwa mchina watu wakaniambia hazimalizi miezi sita hizo leo ni mwaka sasa Inang'aa vile vile.
nimeshakupata mkuu.. HIP HOP NI MAISHAJua kwa kingereza alaf mwisho shine
Kuna bati za migongo mipana zimeezekwa madarasa pale same secondary lile darasa limejengwa mwaka 1970 uko hadi leo bado kama limepigwa jana...haya mabati nadhani yanagrades zake na nna uhakika wengi hatuwezi kumudu bei kwa Mali safi...tunapenda vitu ambavyo havina ubora just bcoz zinafanana na vyenye uboraMkuu bati ambazo hazipauki hazijawahi kuwepo relax usiishii kwa mashindano na kujifananisha kila kitu, iliyopauka ni rangi siyo bati ..
Rangi za bati zako kupauka kusipoteze Furaha ya Nyumba yako. Tusiumie kwa tulivyopoteza na kusahau tulivyobaki navyoo.
Sio kila kitu chenye bei kubwa ni kizuri au kila kitu chenye bei ndogo ni hafifu.Kuna bati za migongo mipana zimeezekwa madarasa pale same secondary lile darasa limejengwa mwaka 1970 uko hadi leo bado kama limepigwa jana...haya mabati nadhani yanagrades zake na nna uhakika wengi hatuwezi kumudu bei kwa Mali safi...tunapenda vitu ambavyo havina ubora just bcoz zinafanana na vyenye ubora
Kwahyo unaona alaf pekee ndio bati bora?watu wanaagiza mabati nje na vifaa vingine ya ujenzi .ni pesa yako tuSio kila kitu chenye bei kubwa ni kizuri au kila kitu chenye bei ndogo ni hafifu.
Kuna watu wametumia Alaf Original kutoka kiwandani bati zimepauka.
Umepigwa maturuYaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.
Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.
Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!
Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake upya kwa mkono?
Ushauri wenu naombeni.
Hivi ni kitu gani huwa kinawafanya watu wawe wavivu kwenda Kiwandani ukapewa mzigo wako wenye kueleweka! Unapenda buguruni/tazara unategemea kupata bati original kweli? Pale ni full fake.Kuna siku nilinunua Bati- baada yakufika site Fundi alipokuja alinipigia Simu kuwa zile bati sio za ALAF ni fake. Bahati nna Jamaa angu anafanya kazi ALAF nilipompigia akanielekeza namna ya kutambuwa ALAF original na Fake!
Niliporudi Dukani Mmoja ya alieniuzia (walikuwa wawili) akaanza maneno ya shombo. Mimi nikawaambia wanibadilishie zile Bati wanipe Original au wanipe pesa yangu! Vinginevyo Kesi nawausisha ALAF Ili wawasaidie kuwaonyesha Walipozipata hizo fake ALAF mwenzake aliposikia hivyo akanipa tena Bati 50 zingine.
Akalipia usafiri wa kupeleka original Bati site na kusomba zile fake kurudisha dukani. Ni Zaidi ya Mwaka Bati zote zipo na same color.Pole sana ila kama una risiti ya Hizo Bati washirikishe ALAF mwende Dukani mkakomae nao
Alaf inayobabuka kidogo ni 30G, 26 na 28 sijawahi kuona ikibabuka.Nilifanya kosa sana na uwezo nilikuwa ninao.lakini hata huko nako kuna rangi inababuka
Mkuu kupaka rangi upya utaongeza stres hazishiki rangiYaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.
Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.
Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!
Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake upya kwa mkono?
Ushauri wenu naombeni.
Hii ndio bati ya ALAF original....alama zake katikati ya mgongo moja na mwingne kuna njia tatu namaaisha migongo midogo mitatu.....hakuna kampuni yeyote ipo hvyo...kingine muhuri wa moto nyuma ya bati kingine muhuri wa kugonga ambao umeandikwa ALAFZinakuwa zimeandikwa ALAF hapo
Unaiona kwa nyuma na kwa mbele
Halafu zinakuwa na code nyuma ya bati sema sikupiga picha nilivyonunua
Ila kiuhakika zaidi bora ukachukue kiwandani au store kubwa ambayo haiuzi vitu fakeView attachment 2324970View attachment 2324971
Kama rangi za kiboko ni nzuri kwanini bati zao zinapauka haraka sanaPVA Nzuri ni ya Kiboko
Plascon ni jina tu
Na wewe.walikuchanhanyia na fekiRelax bro hiyo ipo kwa wote
Niliezeka bati upande umepauka na upande mwingine zipo vile vile,nyumba ipo kama ina aina 2 za bati,ila nilinunua sehemu moja,duka moja bei moja...ila ukiangalia kwa jirani bati zipo poa tu
Ilimradi sinyeshewi haina shida