Road to 2015 general election CHADEMA

FredKavishe

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,090
318
ubunge na udiwani
1.kwanza kabisa wasikubali kupoteza hata kiti kimoja cha ubunge chadema ina viti 23 vya ubunge mpaka sasa ihakikishe mwaka 2015 inaingia na huo mtaji wa viti 23 yaani wawe na uhakika kuwa hivyo viti tayari ni vyao haijahitaji nguvu sna kushinda hivyo viti
mistake kubwa waliofanya CDM ni kukubali kupoteza kiti kimoja cha Tarime kwa ccm ni kosa kubwa sana sasa lisijitokeze tena majimbo muhimu ambayo ccm wanayataka kwa nguvu 2015
i.arusha mjini: hapa kamanda godbless lema ajipange sana awe karibu na wananchi atekelze ahadi zile ndogo alizotoa
ii.yale majimbo mawili ya mwanza(ilemela) nguvu inahitajika pale tuendeleza sera zetu ccm waoonyesha nia hadi maadhimisho yao wamefanyia mwanza.
iii.kuna mbeya mjini nalo ya kuchunga sana ccm watafanya juu chini walipata
iv.ubungo na kawe sina matatizo napo tuna vijana makini wenye uwezo mkubwa sana

2.cdm naona kama mmelala hamtaki kufika vijijini
hapa nitaelezea vizuri sehemu nyingi za vijijini ndo imekuwa udhaifu wa cdm hata kwenye uchaguzi wa 2010 naamini kuna uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 sasa wale hapa ndo pakuanzia tuanze sasa tusisubiri dr slaa o zito kabwe waje kutupigia kampeni uchaguzi wa serikali za mtaa.
vijana wa umoja wa bavicha wakati ni huu ni uhakika chama hakiwezi kukosa hata miloni 100 kwa mwaka najua kuna kampeni ya saidia cdm za kuaandaa maandalizi ya 2015.
nitaelezea hizo milioni 100 kwa mwaka tutazigawanya vipi kujipanga na uchaguzi ujao.
ni amini kuna wale wagombe wa mwaka 2010 waligombea ile kutokana na kukosa muda wa kujiandaa wakakosa kura sasa hizi ela ndo zitumike kama maandalizi yao.waanze kampeni za chini chini kuitisha mikutano midogo modogo kuanzia leo ili hata akija kupita 2015 kuomba ubunge anakua si geni machoni kwa raia.
John heche aongoze mapambano ya kufika vijijini huko tukianzia na hizi sehemu
i.mtwra
ii.zanzibar
iii.lindi
iv.tabora
v.morogoro
vi.dodoma
vii.tanga
viii.pwani
hapa mwenyekiti wa bavicha ndugu john heche akiongozana na wanachama ambao maybe watagombea 2015 wapite kila kijiji mnakutana na wazee na kimama wa kijiji kwanza mnauliza matatizo yao mnaelezea sera zenu msihofu hata kwenye kikao wakiwa kumi ni mtaji mkubwa sana.
hiyo ndo iwe aim kubwa hawa wagombea ambao tunajua watasimamia machoni mwa watu mwaka 2015 wapite watu wawajue tufungue matawi zaidi vijijini kupata wanachama wengi huko target yetu sasa iwe na sera za kuvutia wazee na wakina mama ndo wapiga kura hao
na pia vijana tuwavutie kwa wingi waje ujiunga na cdm
fadia za kuwatumia wale tunaisi wataweza kusimamishwa na chama mwaka 2015
i.watu watakuwa washazijua sra zao itakuwa easy sana kwao kupita 2015
ii.hawatakuwa wageni machoni kwa watu
iii.jamii itakuwa inajua huyu mtu anatujali hata kabla hatujampa ubunge alikua pamoja na sisi
iv.ni raisi kwa mimi kumchagua peter kwa sababu namjua nishamuona kama mara kumi na sera zake na misimamo yake naijua

3.yale majimbo tuliyoshindwa kwa kura ndogo sana.
haya ni sawa na majimbo yetu ya na kutolea macho sana kura ziongezeke 2015 niaamini wale wanachama waligombea bado wapo tanzania wahimizeni wawe wanakwenda majimbo kuendeleza harakati kwa ajili ya mwaka 2015
i.kilombero japo dada yetu katutoka rip regia hili liwe jimbo letu cdm 2015
ii.kuna jimbo moja kigoma tofauti ya kura ilikuwa moja hili liwe letu nalo
iii.segera japo walichakachua tuhakikishe tunaklinda kura
iv.bukoba mijini
v.na mengineyo najua yako mengi

4.piganieni tume huru ya haki
harakati hizo zote hapo hazitawzekana bila tume huru na haki na kutoko kuchaguliwa na raisi

5.mawakala wawe kila vituo
hapa ndo udhaifu wa vyama vingi vya upinzani unapokuwepo hamuweki mawakala mkiibiwa kura mnalalamika

6.kina mama wa cdm mnalala sana sioni harakati
enyi wabunge wa viti maalumu mmewekwa na chama muuitishe vikao vya kina mama kila mkoa kujua matatizo yao kuandaa solution kwa yale mtakayo weza na yale mtakayo fikisha bungeni kuyauliza maswali
i.kina mama hawana maji mmekaa kimya tu au mmeshiba mshahara na posho za bungeni
ii.kina mama waporwa ardhi zao nyie mko kimya
iii.kina mama wanabakwa mmekaa tu
fungue hayo macho jamani

7.naomba kamati kuu iwapunguzie majukumu wabunge wakae majimboni wajue shida za wananchi wao cdm mmepewa majimbo mengi mko kweny mtihani jee na nyie ni kama ccm
wabunge watulie majimbo kwao kusikiliza kero za wananchi wao

8.shibuda huyu mzee tusimtenge hata kama ana tamaa ni wakati wa kumtumia atupe majimbo mengine shinyanga jamani mnamuacha kama sio mbunge wa cdm naomba mumpe nafasi ahakikishe tunapata majimbo mengi kule shinyanga

mwisho kabisa lowasa kashanza kampeni now na sisi tuzianze jamani tukichelewa hakika tutamkuta mwana si wetu


mimi majanikv
kutoka mapangoni
 
Hii nimeikubali is a road map naweza kuongezea kwa hayo uliyoyasema CDM mkijipanga kuna mikoa CCM wanaweza kuondoka mikono mitupu na Kigoma, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha.

Kwa mfano Kigoma wana majimbo 3 out of 8 na hayo matatu mawili ndiyo walishinda kwa tofauti ya kura kidogo na moja kesi iko mahakamani kwa madai kuwa hakuwa ameshinda kihalali
 
Hii nimeikubali is a road map naweza kuongezea kwa hayo uliyoyasema CDM mkijipanga kuna mikoa CCM wanaweza kuondoka mikono mitupu na Kigoma, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha. Kwa mfano Kigoma wana majimbo 3 out of 8 na hayo matatu mawili ndiyo walishinda kwa tofauti ya kura kidogo na moja kesi iko mahakamani kwa madai kuwa hakuwa ameshinda kihalali

Pamoja sana mkuu
 
Ubunge na Udiwani

1. Kwanza kabisa wasikubali kupoteza hata kiti kimoja cha ubunge chadema ina viti 23 vya ubunge mpaka sasa ihakikishe mwaka 2015 inaingia na huo mtaji wa viti 23 yaani wawe na uhakika kuwa hivyo viti tayari ni vyao haijahitaji nguvu sana kushinda hivyo viti

Mistake kubwa waliofanya CDM ni kukubali kupoteza kiti kimoja cha Tarime kwa CCM ni kosa kubwa sana sasa lisijitokeze tena majimbo muhimu ambayo CCM wanayataka kwa nguvu 2015

i. Arusha Mjini: hapa Kamanda Godbless Lema ajipange sana awe karibu na wananchi atekelze ahadi zile ndogo alizotoa

ii. Yale Majimbo mawili ya Mwanza (Ilemela) nguvu inahitajika pale tuendeleza sera zetu CCM waoonyesha nia hadi maadhimisho yao wamefanyia Mwanza.

iii. Kuna Mbeya Mjini nalo ya kuchunga sana CCM watafanya juu chini walipata

iv. Ubungo na Kawe sina matatizo napo tuna vijana makini wenye uwezo mkubwa sana


2.CDM Naona Kama Mmelala Hamtaki Kufika Vijijini


Hapa nitaelezea vizuri sehemu nyingi za vijijini ndo imekuwa udhaifu wa cdm hata kwenye uchaguzi wa 2010 naamini kuna uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 sasa wale hapa ndo pakuanzia tuanze sasa tusisubiri Dr slaa na Zitto kabwe waje kutupigia kampeni uchaguzi wa serikali za mtaa.

Vijana wa umoja wa BAVICHA wakati ni huu ni uhakika chama hakiwezi kukosa hata miloni 100 kwa mwaka najua kuna kampeni ya saidia CDM za kuaandaa maandalizi ya 2015.

Nitaelezea hizo milioni 100 kwa mwaka tutazigawanya vipi kujipanga na uchaguzi ujao.

Nina amini kuna wale wagombe wa mwaka 2010 waligombea ile kutokana na kukosa muda wa kujiandaa wakakosa kura sasa hizi ela ndo zitumike kama maandalizi yao.

Waanze kampeni za chini chini kuitisha mikutano midogo modogo kuanzia leo ili hata akija kupita 2015 kuomba ubunge anakua si geni machoni kwa raia.

John Heche aongoze mapambano ya kufika vijijini huko tukianzia na hizi sehemu

i. Mtwra
ii. Zanzibar
iii. Lindi
iv. Tabora
v. Morogoro
vi. Dodoma
vii. Tanga
viii. Pwani

Hapa Mwenyekiti wa BAVICHA Ndugu John Heche akiongozana na wanachama ambao maybe watagombea 2015 wapite kila kijiji mnakutana na wazee na kimama wa kijiji kwanza mnauliza matatizo yao mnaelezea sera zenu msihofu hata kwenye kikao wakiwa kumi ni mtaji mkubwa sana.

Hiyo ndo iwe aim kubwa hawa wagombea ambao tunajua watasimamia machoni mwa watu mwaka 2015 wapite watu wawajue tufungue matawi zaidi vijijini kupata wanachama wengi huko target yetu sasa iwe na sera za kuvutia wazee na wakina mama ndo wapiga kura hao na pia vijana tuwavutie kwa wingi waje ujiunga na cdm faida za kuwatumia wale Tunaisi wataweza kusimamishwa na chama mwaka 2015


i. Watu watakuwa washazijua sera zao itakuwa easy sana kwao kupita 2015

ii. Hawatakuwa wageni machoni kwa watu

iii. Jamii itakuwa inajua huyu mtu anatujali hata kabla hatujampa ubunge alikua pamoja na sisi

iv. Ni raisi kwa mimi kumchagua Peter kwa sababu namjua nishamuona kama mara kumi na sera zake na misimamo yake naijua
3. Yale Majimbo Tuliyoshindwa kwa Kura Ndogo Sana.

Haya ni sawa na majimbo yetu ya na kutolea macho sana kura ziongezeke 2015 niaamini wale wanachama waligombea bado wapo tanzania wahimizeni wawe wanakwenda majimbo kuendeleza harakati kwa ajili ya mwaka 2015

i. Kilombero japo dada yetu katutoka rip regia hili liwe jimbo letu CDM 2015

ii. Kuna jimbo moja Kigoma tofauti ya kura ilikuwa moja hili liwe letu nalo

iii. Segera japo walichakachua tuhakikishe tunaklinda kura

iv. Bukoba mijini

v. Na mengineyo najua yako mengi

4. Piganieni Tume Huru ya Haki


Harakati hizo zote hapo hazitawzekana bila Tume Huru na haki na kutoko kuchaguliwa na raisi
.

5. Mawakala Wawe Kila Kituo

Hapa ndo udhaifu wa vyama vingi vya upinzani unapokuwepo hamuweki mawakala mkiibiwa kura mnalalamika

6. Kina Mama wa CDM Mnalala Sana Sioni Harakati


Enyi wabunge wa Viti Maalumu mmewekwa na chama muuitishe vikao vya kina mama kila mkoa kujua matatizo yao kuandaa solution kwa yale mtakayo weza na yale mtakayo fikisha bungeni kuyauliza maswali:

i. Kina mama hawana maji mmekaa kimya tu au mmeshiba mshahara na posho za bungeni

ii. Kina mama waporwa ardhi zao nyie mko kimya

iii. Kina mama wanabakwa mmekaa tu fungue hayo macho jamani

7. Naomba kamati kuu iwapunguzie majukumu wabunge wakae majimboni wajue shida za wananchi wao CDM mmepewa majimbo mengi mko kwenye mtihani jee na nyie ni kama CCM wabunge watulie majimbo kwao kusikiliza kero za wananchi wao.

8. Shibuda huyu mzee tusimtenge hata kama ana tamaa ni wakati wa kumtumia atupe majimbo mengine Shinyanga jamani mnamuacha kama sio mbunge wa CDM naomba mumpe nafasi ahakikishe tunapata majimbo mengi kule Shinyanga

Mwisho kabisa Lowasa kashanza kampeni now na sisi tuzianze jamani tukichelewa hakika tutamkuta mwana si wetu


Mimi Majanikv
Kutoka Mapangoni
 
Safi Sana Kamanda Majani, una mawazo mazuri sana. Ukombozi wa nchi hii unahitaji ubunifu kama huu. Tupo Pamoja kamanda MajaniKV
 
ubunge na udiwani
1.kwanza kabisa wasikubali kupoteza hata kiti kimoja cha ubunge chadema ina viti 23 vya ubunge mpaka sasa ihakikishe mwaka 2015 inaingia na huo mtaji wa viti 23 yaani wawe na uhakika kuwa hivyo viti tayari ni vyao haijahitaji nguvu sna kushinda hivyo viti
mistake kubwa waliofanya CDM ni kukubali kupoteza kiti kimoja cha Tarime kwa ccm ni kosa kubwa sana sasa lisijitokeze tena majimbo muhimu ambayo ccm wanayataka kwa nguvu 2015
i.arusha mjini: hapa kamanda godbless lema ajipange sana awe karibu na wananchi atekelze ahadi zile ndogo alizotoa
ii.yale majimbo mawili ya mwanza(ilemela) nguvu inahitajika pale tuendeleza sera zetu ccm waoonyesha nia hadi maadhimisho yao wamefanyia mwanza.
iii.kuna mbeya mjini nalo ya kuchunga sana ccm watafanya juu chini walipata
iv.ubungo na kawe sina matatizo napo tuna vijana makini wenye uwezo mkubwa sana

2.cdm naona kama mmelala hamtaki kufika vijijini
hapa nitaelezea vizuri sehemu nyingi za vijijini ndo imekuwa udhaifu wa cdm hata kwenye uchaguzi wa 2010 naamini kuna uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 sasa wale hapa ndo pakuanzia tuanze sasa tusisubiri dr slaa o zito kabwe waje kutupigia kampeni uchaguzi wa serikali za mtaa.
vijana wa umoja wa bavicha wakati ni huu ni uhakika chama hakiwezi kukosa hata miloni 100 kwa mwaka najua kuna kampeni ya saidia cdm za kuaandaa maandalizi ya 2015.
nitaelezea hizo milioni 100 kwa mwaka tutazigawanya vipi kujipanga na uchaguzi ujao.
ni amini kuna wale wagombe wa mwaka 2010 waligombea ile kutokana na kukosa muda wa kujiandaa wakakosa kura sasa hizi ela ndo zitumike kama maandalizi yao.waanze kampeni za chini chini kuitisha mikutano midogo modogo kuanzia leo ili hata akija kupita 2015 kuomba ubunge anakua si geni machoni kwa raia.
John heche aongoze mapambano ya kufika vijijini huko tukianzia na hizi sehemu
i.mtwra
ii.zanzibar
iii.lindi
iv.tabora
v.morogoro
vi.dodoma
vii.tanga
viii.pwani
hapa mwenyekiti wa bavicha ndugu john heche akiongozana na wanachama ambao maybe watagombea 2015 wapite kila kijiji mnakutana na wazee na kimama wa kijiji kwanza mnauliza matatizo yao mnaelezea sera zenu msihofu hata kwenye kikao wakiwa kumi ni mtaji mkubwa sana.
hiyo ndo iwe aim kubwa hawa wagombea ambao tunajua watasimamia machoni mwa watu mwaka 2015 wapite watu wawajue tufungue matawi zaidi vijijini kupata wanachama wengi huko target yetu sasa iwe na sera za kuvutia wazee na wakina mama ndo wapiga kura hao
na pia vijana tuwavutie kwa wingi waje ujiunga na cdm
fadia za kuwatumia wale tunaisi wataweza kusimamishwa na chama mwaka 2015
i.watu watakuwa washazijua sra zao itakuwa easy sana kwao kupita 2015
ii.hawatakuwa wageni machoni kwa watu
iii.jamii itakuwa inajua huyu mtu anatujali hata kabla hatujampa ubunge alikua pamoja na sisi
iv.ni raisi kwa mimi kumchagua peter kwa sababu namjua nishamuona kama mara kumi na sera zake na misimamo yake naijua

3.yale majimbo tuliyoshindwa kwa kura ndogo sana.
haya ni sawa na majimbo yetu ya na kutolea macho sana kura ziongezeke 2015 niaamini wale wanachama waligombea bado wapo tanzania wahimizeni wawe wanakwenda majimbo kuendeleza harakati kwa ajili ya mwaka 2015
i.kilombero japo dada yetu katutoka rip regia hili liwe jimbo letu cdm 2015
ii.kuna jimbo moja kigoma tofauti ya kura ilikuwa moja hili liwe letu nalo
iii.segera japo walichakachua tuhakikishe tunaklinda kura
iv.bukoba mijini
v.na mengineyo najua yako mengi

4.piganieni tume huru ya haki
harakati hizo zote hapo hazitawzekana bila tume huru na haki na kutoko kuchaguliwa na raisi

5.mawakala wawe kila vituo
hapa ndo udhaifu wa vyama vingi vya upinzani unapokuwepo hamuweki mawakala mkiibiwa kura mnalalamika

6.kina mama wa cdm mnalala sana sioni harakati
enyi wabunge wa viti maalumu mmewekwa na chama muuitishe vikao vya kina mama kila mkoa kujua matatizo yao kuandaa solution kwa yale mtakayo weza na yale mtakayo fikisha bungeni kuyauliza maswali
i.kina mama hawana maji mmekaa kimya tu au mmeshiba mshahara na posho za bungeni
ii.kina mama waporwa ardhi zao nyie mko kimya
iii.kina mama wanabakwa mmekaa tu
fungue hayo macho jamani

7.naomba kamati kuu iwapunguzie majukumu wabunge wakae majimboni wajue shida za wananchi wao cdm mmepewa majimbo mengi mko kweny mtihani jee na nyie ni kama ccm
wabunge watulie majimbo kwao kusikiliza kero za wananchi wao

8.shibuda huyu mzee tusimtenge hata kama ana tamaa ni wakati wa kumtumia atupe majimbo mengine shinyanga jamani mnamuacha kama sio mbunge wa cdm naomba mumpe nafasi ahakikishe tunapata majimbo mengi kule shinyanga

mwisho kabisa lowasa kashanza kampeni now na sisi tuzianze jamani tukichelewa hakika tutamkuta mwana si wetu


mimi majanikv
kutoka mapangoni

Nipo Zanzibar..Natengeneza Mtandao na nitaongea na majembe kwa ukaribu mapema sana kujenga nguvu huku
 
Mkumbuke mawazo kama haya ni silaha nzito za kumuangamiza adui. Tunapo yaweka uchi mahali kama hapa ni sawa na kumuonyesha adui mbinu anazo takiwa kuzifanya ili akushinde. Nadhani wakati mwingine ni kuyatuma kwa viongozi ili wayafanyie kazi.

Najaribu kuwaza tu kwa sauti.
 
Mkumbuke mawazo kama haya ni silaha nzito za kumuangamiza adui. Tunapo yaweka uchi mahali kama hapa ni sawa na kumuonyesha adui mbinu anazo takiwa kuzifanya ili akushinde. Nadhani wakati mwingine ni kuyatuma kwa viongozi ili wayafanyie kazi.

Najaribu kuwaza tu kwa sauti.

Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom