Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,195
- 1,021
vipi mwenzangu hatia haijakufikia badooo..??
tayari imenifikia
john mapulu anaakili kama mbwa wa police lakini kashidwa kumkamata michael...
yani akishindwa kabisa kumkamata michael nafunga safari hadi Mwanza kumueleza ukweli.. lol
yani akishindwa kabisa kumkamata michael nafunga safari hadi Mwanza kumueleza ukweli.. lol
yani akishindwa kabisa kumkamata michael nafunga safari hadi Mwanza kumueleza ukweli.. lol
ohoooooo...unaitafuta hatia ya pili..asije kata kichwa chako akatembea nacho mfukoni kama pochi bule...au laa uangukiw kwenye mikono yakina joram mbona utachezea kichapo usahau mpaka jinsia shauli yako..mim sitaki kuwa shaidi.
au unataka wifi /shem aende kwa mchungaji jk kukuombea upatikanike.