Wamarekani wanakwambia u can run but u can never hide,utakimbia kimbia weee...alakini mwisho wake watakukamata tu.hawajamaa ni noma,huyu osama walishajua alipokua muda mrefu alakini walikua wanajipanga vipi watampata pasipo madhara,yaani wako kudhurika,inasemekana mzee mkubwa alikua anaangalia makomandoo wake wakimvamia jamaa live.hawa watu kweli noma.