Risasi zafyatuliwa Manzese kutawanya wafanyabiashara

Hivi haya matumizi ya mabomu na risasi mbona yamekuwa rejareja kiasi hiki. Afu watu wanashangilia humu ndani! Yana madhara yake jamani haya matumizi ya nguvu kupindukia!
 
WEWE upo apa kisiasa,walinza kubomoa jengo la tanload na kinachofuata ni lilejengo lefu la Tanesco kwani kuchelewa kwetu kulibowa ni kumsababisha mkandalasi kuchelewa kumaliza kazi kwa wakati,na utambue kuwa kila kifaa kilicho site cha mkandalasi pindi mda ukifika wa kumaliza ujenzi nyinyi hamjabomoa ina maanisha mtalipa riba ya vifaa kukaa site bila kufanya kazi na pengine mkandarasi angetaka kuvitumia sehemu nyingine

kwa hiyo maeneo yote yalio ktk hifadhi ya barabara yatabomolewa kabla mkandalasi hajaanza kazi

lile soko lilikuwa ktk ratiba ya kubomolewa tangu mda tu,na walipewa nafasi ya kuondoka hawakuondoka,ulitaka serikali ifanyeje?
towa jibu mkuu
Whats that?
 
soko la mahakama ya ndizi lililopo Manzese DSm hivi sasa linavunjwa.

Risasi na mabomu yatumika kutawanya wafanyabiashara, barabara yafungwa.

Chanzo: Radio One

Wananchi wa Jimbo la Ubungo mpaka watie akili kuwa wanaadhibiwa kwa kuichagua CDM watakuwa wameumia sana. Na viongozi wa CDM sijui wanachukua hatua zipi kuasaidia wapiga kura wao ambao wanaumizwa kwa kuwa chagua? Tunaona wao wanaendelea na maandamano huko mikoani wakati ubungo wanaumia, tunataka tusikia tamko lao nini kati hali kama hii.
 
soko la mahakama ya ndizi lililopo Manzese DSm hivi sasa linavunjwa.

Risasi na mabomu yatumika kutawanya wafanyabiashara, barabara yafungwa.

Chanzo: Radio One


Hivi hizi risasi na mabomu hii serikali ya JK wanapewa bure? Au ndio anachopewa huko nje ktk ziara za mara kwa mara? Sipati picha matumizi yake yalivyo. pamapohitaji dialogue ni mabomu na risasi (tena zo moto),
 
throughout the Arab world. It ignited when a 26 year old university graduate could not find steady employment and had to resort to selling produce in the streets to earn money for his family. The authorities seized his fruits and vegetables robbing him of his livelihood and dignity. In protest the merchant set himself on fire and later died. One news commentator stated, “this was a ‘let them eat cake’ moment.”
 
Ni lazima watu wajue uwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria. Na nilazima kila mwananchi afuate sheria za nchi kwani kwenda kinyume ni kujitafutia matatizo.

Wafanyabiashara wenzangu tandale fuateni sheria na msikaidi maagizo ya viongozi wenu wa juu. Msifikiri kuwa Chadema itawatetea kwa hilo.

Epukeni shari kwa kufata sheria
 
sehemu hile hairusiwi waliambiwa waende machinga complex wakakataa sasa ndo wanakiona cha moto

kama ni kwenda machinga complex wameshindwa nini kuwaondoa wale wa pale karume ambapo mita chache na machinga complex,..hapa ni siasa na anayetafutwa ni mnyika aonekane anashindwa kuwatetea,ni hujuma,wale wa karume hawavunjiwi sababu ni jimbo la zungu(ilala),..politics in everything,..hata huu mradi wa mabasi yaendayo kasi ni hujuma tu,.haitajengwa barabara yoyote mpaka uchaguzi mwingine utafika and we r all witnesses
 
soko la mahakama ya ndizi lililopo Manzese DSm hivi sasa linavunjwa.

Risasi na mabomu yatumika kutawanya wafanyabiashara, barabara yafungwa.

Chanzo: Radio One
Tatizo ni CHADEMA. Naona njia ya maandamano kama Misri na Libya zinaandaliwa. Inawezekana kina Lowasa wanachochea haya mambo au?
 
Nimesikia ni maandamano yalikuwa yameanza ya wazalendo zaidi ya mia ,kinachohitajika ni kuyapa momentum maandamno hayo,yawe yanaongeza wazalendo ,polisi wamejaribu kuyawahi,huu ni wakati wa kuungana nao na kupinga udhalilishaji huo.
 
nahisi ni yale yaliobaki kule Gongo la Mboto, wameona wayatumie haraka kuliko kulipukiwa tena au kuingia garama za kuyateketeza...


husipotoshe umma wa watanzania, mabomu ya G/Mboto n Mbagala yalipolipuka wananchi waliyakimbia makazi yao na wengine kufa na miili yao kusambaratika, iweje hapo RAIA WAMEJAZANA??? kama yapo ni yale ya washa macho a.k.a ya machozi! tunahitaji maendeleo na miji misafi bwana hata wewe ukikaidi tunaghushughulikia! hili siyo ya watu wa KAKI au KIJANI, ni la Wadanganyika wote!:mullet:
 
sehemu hile hairusiwi waliambiwa waende machinga complex wakakataa sasa ndo wanakiona cha moto
Machinga complex haiwezi kuwa accommodate wajasiriamali hawa wote. Huwezi kuamini, wale walioko pale mchikichini wameshindwa kuenea katika hii complex. Tena, eneo hili la complx limejaa urasimu usio na mfano, wanaohusika kupewa hawajapewa na haya ndiyo yalikuwa malalmiko yao wakati Zungu alipowatembelea
Nakubali kuwa eneo hili halifai kuwepo wao, lakini, ni nani anapaswa kuaanda miundombinu thabiti ya kuwawezesha vijana hawa kufanya kazi zao bila vurugu!!!!!?
 
Wananchi wa Jimbo la Ubungo mpaka watie akili kuwa wanaadhibiwa kwa kuichagua CDM watakuwa wameumia sana. Na viongozi wa CDM sijui wanachukua hatua zipi kuasaidia wapiga kura wao ambao wanaumizwa kwa kuwa chagua? Tunaona wao wanaendelea na maandamano huko mikoani wakati ubungo wanaumia, tunataka tusikia tamko lao nini kati hali kama hii.
so na lile jengo la TANESCO linalotakiwa kuvunjwa vp...hivi TANESCO nao walichagua CHADEMA????hebu nisaidieni hapa!!!!!!!!!!!!!
 
He is now famous throughout Tunisia and the Arab world — a legend, in fact. But Mohammed Bouazizi never set out to be a byword. His aunt Radia Bouazizi says his dream was to save enough money to be able to rent or buy a pickup truck. "Not to cruise around in," she says, "but for his work." Her nephew was a vegetable seller. "He would come home tired after pushing the cart around all day. All he wanted was a pickup." Instead, he started a revolution.
Bouazizi was like the hundreds of desperate, downtrodden young men in hardscrabble Sidi Bouzid. Many of them have university degrees but spend their days loitering in the cafés lining the dusty streets of this impoverished town, 190 miles (300 km) south of the capital Tunis. Bouazizi, 26, didn't have a college degree, having only reached what his mother says was the baccalaureate level, which is roughly equivalent to high school. He was, however, luckier than most in that he at least earned an income from selling vegetables, work that he'd had for seven years. (See pictures of the ransacked mansions of Tunisia.)
But on Dec. 17 his livelihood was threatened when a policewoman confiscated his unlicensed vegetable cart and its goods. It wasn't the first time it had happened, but it would be the last. Not satisfied with accepting the 10-dinar fine that Bouazizi tried to pay ($7, the equivalent of a good day's earnings), the policewoman allegedly slapped the scrawny young man, spat in his face and insulted his dead father.
Humiliated and dejected, Bouazizi, the breadwinner for his family of eight, went to the provincial headquarters, hoping to complain to local municipality officials, but they refused to see him. At 11:30 a.m., less than an hour after the confrontation with the policewoman and without telling his family, Bouazizi returned to the elegant double-storey white building with arched azure shutters, poured fuel over himself and set himself on fire. He did not die right away but lingered in the hospital till Jan. 4. There was so much outrage over his ordeal that even President Zine el Abidine Ben Ali, the dictator, visited Bouazizi on Dec. 28 to try to blunt the anger. But the outcry could not be suppressed and, on Jan. 14, just 10 days after Bouazizi died, Ben Ali's 23-year rule of Tunisia was over.


Read more: Tunisia: How Mohammed Bouazizi Sparked a Revolution - TIME
 
so na lile jengo la TANESCO linalotakiwa kuvunjwa vp...hivi TANESCO nao walichagua CHADEMA????hebu nisaidieni hapa!!!!!!!!!!!!!

Sasa jengo la tanesco linaweza tumika tu kama kifunika uelewa, ukifikiria kwa wepesi na juujuu utaona hivyo. Lakini tanesco kukosa ofisi si kunawapa mafisadi furusa ya kuwapangisha kwenye majengo yao. Kwa maneno mengine wanawakomoa wapiga kura wa ubungo na kupata biashara kwenye vitega uchumi vyao, jiwe moja kwa ndege wengi. Maana yake usisahau na nyumba zinavyunjwa fikiria ni watu ngapi wataadhirika na hilo.
 
Back
Top Bottom