Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
SOURCE: ITV leo taarifa yahabari ya saa mbili usiku..........
Yaani nilichoona kimenishtua sana..........................waangalizi hawa hivi walikuwa nchi gani vile?
Wamedai yafuatayo:-
a) Wapigakura wengi hawakupiga kura kisa waliona CCM itashinda tu na hivyo kusababisha kura zilizohesabiwa kuwa kiduchu..........................ukweli ni kuwa TISS na NEC waliminya kura kibao..............................................
b) Walidai ya kuwa CCM bado ni chama imara wakati Chadema iliwaangusha ila kazi chafu ya TISS na NEC ndiyo inakiweka CCM madarakani......................
c) Hawakuongelea mahudhurio makubwa kwenye mikutano ya Dr. Slaa na kama hao wote yaani waliohudhuria walibaki majumbani hawakupiga kura......................................I just cannot take this boloney........................
d) mapoungufu ya NEC na TISS yamefumbiwa macho.........................................
la ajabu kuliko yote eti JK mchakachuaji in-chief ndie anayepewa hiyo taarifa.......................................kweli nimeamini hawa waangalizi na CCM lao ni moja kuhalalisha viongozi tusiyo wahitaji...........................hawa ndiyo walimhalalisha Hosni Mubarak ambaye leo kila mmoja amejua kumbe hachaguliki kabisa.,..........ni wizi wa kura tu ndiyo umemweka madarakani miaka 30..............
Yaani nilichoona kimenishtua sana..........................waangalizi hawa hivi walikuwa nchi gani vile?
Wamedai yafuatayo:-
a) Wapigakura wengi hawakupiga kura kisa waliona CCM itashinda tu na hivyo kusababisha kura zilizohesabiwa kuwa kiduchu..........................ukweli ni kuwa TISS na NEC waliminya kura kibao..............................................
b) Walidai ya kuwa CCM bado ni chama imara wakati Chadema iliwaangusha ila kazi chafu ya TISS na NEC ndiyo inakiweka CCM madarakani......................
c) Hawakuongelea mahudhurio makubwa kwenye mikutano ya Dr. Slaa na kama hao wote yaani waliohudhuria walibaki majumbani hawakupiga kura......................................I just cannot take this boloney........................
d) mapoungufu ya NEC na TISS yamefumbiwa macho.........................................
la ajabu kuliko yote eti JK mchakachuaji in-chief ndie anayepewa hiyo taarifa.......................................kweli nimeamini hawa waangalizi na CCM lao ni moja kuhalalisha viongozi tusiyo wahitaji...........................hawa ndiyo walimhalalisha Hosni Mubarak ambaye leo kila mmoja amejua kumbe hachaguliki kabisa.,..........ni wizi wa kura tu ndiyo umemweka madarakani miaka 30..............