Ameir Eshaq
Member
- Jan 3, 2011
- 35
- 1
Nchi inayoongoza duniani kwa kula rushwa 2010 ni nchi ya Somalia, Africa ikifuatiwa kwa karibu na nchi za Myanmar, Afganistan na Iraq. Nchi zinazoongoza kwa kutokula rushwa ni Denmark, New Zealand na Singapore. Nchi sita za Africa kati ya nchi kumi zilizoorodheshwa kwa kula rushwa zaidi duniani 2010 ni nchi za Somalia,
- Sudan,
- Chad,
- Burundi,
- Angola na
- Equatorial Guinea.