Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
Mzee Mizengo Pinda kumekuwa na vilio katika halmashauri za wilaya kuhusian na ufusadi wala sijawahi kumsikia akisema kitu. hata zile halimashauri zilizokuwa zimepewa vyeti vichafu na makaguzi wa mahesabu wa serikali nyie mlimsikia Mizengo akisema kitu!
Ili Nchi inyoke sasa inahitaji mtu atakayesoma maoni ya wananchi, anayewapenda wapinzani na kuwapa nafasi sawa ya kuongoza nchi.
Vipi huyu POMBE?
Ili Nchi inyoke sasa inahitaji mtu atakayesoma maoni ya wananchi, anayewapenda wapinzani na kuwapa nafasi sawa ya kuongoza nchi.
Vipi huyu POMBE?