nyengo, asante kwa hii ripoti, nilikuwepo Dodoma wakati CAG alipotoa ripoti hii, na nikaziposti humu JF ripoti zote nne, ila wana jf wa leo, sio wasoma ripoti, wanajf wa sasa, hawawezi tena mambo magumu, hii chakula ya jf sasa, wanataka watafutiwe hiyo chakula, wakobolewe, wapepetewe, wasagiwe, wapikiwe, wapakuliwe, walishwe, watafuniwe, wao ni kumeza tuu!.anaglieni ripoti ya ukaguzi. Nafikiri mtaweza kufungua hapa