Africans are even worse than themThey are the worst people ever , I hate them from my heart
uajabu wa waarabu ni upi??? unadhani kuna biashara ya ngono uarabuni, jidanganye! uarabuni sio india , ulaya au marekani kwenye biashara hiyoWaarabu wana roho za ajabu sana.
Yule Mbunge baba yake bibi Bomba alikuwa anawapeleka Dubai, falme za kiarabu...sio India hawa wanapeleka India sio Arabuni! Arabuni hakuna biashara hizo za ukahaba sheria zao kali sana!Ni kweli yule kule temeke alishindwa awamu hii, sijui serikali haimuoni, tena ni wa Chama pendwa.
hivi Algeria si nchi ya kiislam? kuna jamaa yangu alisoma huko na biashara hiyo ipoMbona zingine ni nchi za Kiislam? How wafanye biashara hiyo tena sasa?
Kuna mtu niliwahi kumwambi hivi, "Ukiona jamii Fulani ina sheria nyingi na KALI, ujue jamii hiyo ina maovu mengi sana" Nchi za Kiarabu zina sheria za kukata na kuua watu watakao fumaniwa wakizini, hivi unamkamataje mtu anae piga show na beki 3 wake? Haendi guest wala kuomba chumba cha mtu, anapiga show humo humo tu.hivi Algeria si nchi ya kiislam? kuna jamaa yangu alisoma huko na biashara hiyo ipo
Usinambie kama na huko IPO asie!? au huko hawatumii sharia laws? Sorry, lakini mbona Saudia wanatumia sharia law na still ma beki 3 wanafanyiwa hayo hayo tu!?hivi Algeria si nchi ya kiislam? kuna jamaa yangu alisoma huko na biashara hiyo ipo
Watanzania wanaofanya kazi nchi za Mashariki ya Kati na Asia wanafanyiwa vitendo vya kudhalilishaji ikiwepo kufanyishwa biashara ya ngono na kunyimwa paspoti pindi wanavyotaka kurudi, hayo yamesemwa na mkuu wa kitengo cha mawasiliano na msemaji wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mindi Kasiga.
Watanzania hao wanaondoka nchini kwa kurubuniwa kuwa watapewa kazi kama kuuza duka, hoteli na kazi za ndani lakini wakifika huko wanabadlishiwa na kulazimishwa kufanya vitendo hivyo.
Wizara inashirikiana na jeshi la polisi kujua watu wanaojihusisha na kuwasafirishawatu hao wanaowasafirisha hususani nchi za Saudi Arabia Falme za kiarabu, Oman, na India
==========
Hindian ndio kina nani hao?I hate hindian
Co wote wenye roho mbaya. I used to hate them sn sn. Ila kuna cku nlipanda kandege flan ambako ac take walishindwa kuiregulate vzr so kulikua na barid isiyo kawaida na pembeni alikaa mhindi. Nakumbuka kukasirika sn kukaa nae. Nikamwomba air hostess blanket akasema zimeisha huwa wanazo chache wameshagawa. Nilikua natetemeka yule muhind pemben yangu alikua nayo alikua kaomba mapema. Akanipatia blanket yake. Ckuamini na toka cku hiyo nikawa na different perspective abt these guys. Ctageneralise my thoughts about people of any kindMe too sijawahi kuwapenda hao manyang'au
I hate hindian
Mbona zingine ni nchi za Kiislam? How wafanye biashara hiyo tena sasa?
uajabu wa waarabu ni upi??? unadhani kuna biashara ya ngono uarabuni, jidanganye! uarabuni sio india , ulaya au marekani kwenye biashara hiyo