Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanywa pombe za viwandani barani Afrika, ripoti imesema. Idadi ya walevi wa bia imeongezeka kwa asilimia 35 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wakati ile ya watumiaji wa pombe kali imepanda kwa kiwango cha asilimia 25. Nchi zinazoifuatia Tanzania ni Zambia, Afrika Kusini, Malawi na Nigeria.