ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Murra, naomba link ya source ya habari.
Mbaya zaidi pale hamna hata age restriction. Ukienda unawakuta watoto wadogo under 18 wanabwia mipombe. Imagine hapo huyu mwenyekiti anaandaa taifa gani.
Elewa mada wewe acha kukurupuka. Tunaongelea unywaji wa pombe. Kwa hiyo kwenye disco toto under 18 wanaruhusiwa kunywa pombe?Under 18? kama ulienda disco toto ulitarajia ukute wazee wa miaka 80? yani we ni maamuma na ujununi unakusumbua..sura mbaya kama kijambakoti alicho hongwa Jk na al abwaady
Elewa mada wewe acha kukurupuka. Tunaongelea unywaji wa pombe. Kwa hiyo kwenye disco toto under 18 wanaruhusiwa kunywa pombe?
Mbaya zaidi pale hamna hata age restriction. Ukienda unawakuta watoto wadogo under 18 wanabwia mipombe. Imagine hapo huyu mwenyekiti anaandaa taifa gani.
wapi hapo? Labda unaongelea disco toto, na wewe mtu mzima kujichanganya na watoto we huoni una tabia za kifataki. Na Mwenyekiti haliandai taifa mtoto hufunzwa adabu kwao.
Swali:
hivi wewe hizi tabia unzozionyesha humu ulifundishwa wapi?
This is enough for your stomach
Ushaanza mipasho naona!
jibu swali langu pua baya lione
jk ndo anaekunywesha pombe!?hongera jk... Tunajivunia na wewe.....
Tatizo na wewe umedandia treni kwa mbele. Issue siyo disco toto, issue ni unywaji wa pombe kwa watoto.wapi hapo? Labda unaongelea disco toto, na wewe mtu mzima kujichanganya na watoto we huoni una tabia za kifataki. Na Mwenyekiti haliandai taifa mtoto hufunzwa adabu kwao.
Swali:
hivi wewe hizi tabia unzozionyesha humu ulifundishwa wapi?
sifa nyingine ni kashfa na aibu kwa taifa
Mapato yatokanayo na unywaji huo unawanufaisha kina nani?