Ripoti: Mabeberu nayo ni maminyaji ya demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari, Afrika tusiogope

EU mtajibizana nao wenyewe nyie Vibaraka wao, Serikali iko bize na Maendeleo
The problem mnadhani kwavile mnapiga matarumbeta hapa JF basi mpo salama na ufedhuli unaoendelea! Wengi wenu wala hamuelekei kwamba mpo inner circle vinginevyo wala msingekuwa mnashinda hapa JF!

Sasa ikiwa hata mtu Nape tu aliwahi kuonja joto ya ufedhuli unaoendelea; seuze nyie!

So keep thinking you're safe but you're not! You're not cuz' there's only one person who's safe, and that's President John Magufuli, and you're not!
 
Ripoti ya Taasisi Mbalimbali zisizo za Kiserikali Duniani kuhusu Uhuru wa Vyombo vya Habari na Demokrasia inaonesha:
1, Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini Ufaransa ni wa kuridhisa maana yake siyo mzuri na Demokrasia ni ya mashaka/ujanjaujanja(Flawed Democracy)
2. Ureno Demokrasia ni ya Mashaka/Ujanjaujanja
3.Uhispania Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa kuridhisha(Satisfactory) , siyo mzuri
4. Uingereza Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa kuridhisha (Satisfactory) na siyo mzuri
5. Marekani Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa Kuridhisha na Siyo Mzuri, Demokrasia ni ya Mashaka/Ujanjaujanja (Flawed Democracy).

Zaidi soma :https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_freedom_indices
NB: 1. Satisfactory ni Daraja C. Maana yake nchi wanachama wa EU na Marekani kwa mujibu wa ripoti hii hazina madaraja ya A wala B Kwenye kuheshimu Uhuru wa Vyombo vya Habari na Demokrasia.
2. Ni wazi Taarifa hii imeandaliwa na Tasisi za Ulaya, hivyo kuna mambo mengi wamefumbia MACHO vinginevyo kungekuwa na Madudu Mengi sana.
3. Hakuna nchi ya Afrika iliyopewa hati safi hata moja kwenye ripoti hii, je ni kweli kwamba Nchi zote za Afrika hakuna haki?
Mnaoendelea kuuunga mkono Mabeberu endleeni, tutaelewana tu.

MUHIMU: Yote wanayotutuhumu nayo yeneywe ndiyo ya Kwanza na yemeongezea na Ushoga na Usagaji, yanataka kutulazimisha tufanane kwa mambo ya kishenzi. Tukatae Ushoga, Usagaji.
China wapoje kwenye hiyo report?
 
Kati ya hizo, ni ngapi Mwandishi wa Habari amepotea katika mazingira ya kutatanisha!!

Ni ngapi mpinzani amewahi kupigwa risasi kwa sababu tu alikuwa anaikosoa serikali husika

Ni ngapi miongoni mwao kuna wapinzani waliopotea katika mazingira ya kutatanisha

Ni ngapi polisi walimimina risasi kwa wapinzani lakini kwa laana ya udhalimu, risasi hizo zikaishia kwenda kuua kabinti kadogo ambako ndo kwanza kapo chuo?!

Ni ngapi kati hizo ina rundo la kesi za matumizi mabaya ya mtandao?!

Usichojua ni kwamba, inapozungumziwa demokrasia Ulaya basi ile wanayoita satsafctory, kwa Afrika ingeonekana ndio super democracy ambayo haijawahi kuwa practiced popote barani!

Donald Trump ambae ameonesha wazi kwamba ni adui wa habari lakini anaishia kuwaita fake news mara hili na lile lakini kila uchao wanaendelea kumchana na hana cha kufanya kama ambavyo mnavyofanya madikteta ya Afrika!

Ni kutokana na ukweli huo ndio maana haishangazi kutoona nchi yoyote ya Afrika kwa sababu ni kweli hiyo demokrasi hakuna... kilichopo ni ufadhali wa hapa na pale huku wengine wakiamua ku-practice udikteta moja kwa moja!!
Urusi mpinzani wa Putin alipigwa risasi wakati akivuka daraja.Kashoggi ni mwandishi wa habari aliyeuawa kikatili zaidi kuwahi kutokea na bado hao wazungu unaowalamba miguu wanawatetea wahusika wa mauaji kisa kulinda biashara.
 
Kati ya hizo, ni ngapi Mwandishi wa Habari amepotea katika mazingira ya kutatanisha!!

Ni ngapi mpinzani amewahi kupigwa risasi kwa sababu tu alikuwa anaikosoa serikali husika

Ni ngapi miongoni mwao kuna wapinzani waliopotea katika mazingira ya kutatanisha

Ni ngapi polisi walimimina risasi kwa wapinzani lakini kwa laana ya udhalimu, risasi hizo zikaishia kwenda kuua kabinti kadogo ambako ndo kwanza kapo chuo?!

Ni ngapi kati hizo ina rundo la kesi za matumizi mabaya ya mtandao?!

Usichojua ni kwamba, inapozungumziwa demokrasia Ulaya basi ile wanayoita satsafctory, kwa Afrika ingeonekana ndio super democracy ambayo haijawahi kuwa practiced popote barani!

Donald Trump ambae ameonesha wazi kwamba ni adui wa habari lakini anaishia kuwaita fake news mara hili na lile lakini kila uchao wanaendelea kumchana na hana cha kufanya kama ambavyo mnavyofanya madikteta ya Afrika!

Ni kutokana na ukweli huo ndio maana haishangazi kutoona nchi yoyote ya Afrika kwa sababu ni kweli hiyo demokrasi hakuna... kilichopo ni ufadhali wa hapa na pale huku wengine wakiamua ku-practice udikteta moja kwa moja!!

wa bongo bwana hata kusearch google kuangalia kinacho endelea huko ulaya ujui.mpaka mtu hakutafunie uje umeze.unanikumbusha chuo una laptop una internet lakini jinsi kutafuta majibu ujui utaanzia wapi huku ukimuuliza mwenzako kuona yapo kichwani.
 
wa bongo bwana hata kusearch google kuangalia kinacho endelea huko ulaya ujui.mpaka mtu hakutafunie uje umeze.unanikumbusha chuo una laptop una internet lakini jinsi kutafuta majibu ujui utaanzia wapi huku ukimuuliza mwenzako kuona yapo kichwani.
Acha porojo, jibu hayo niliyouliza!!
 
Ripoti ya Taasisi Mbalimbali zisizo za Kiserikali Duniani kuhusu Uhuru wa Vyombo vya Habari na Demokrasia inaonesha:
1, Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini Ufaransa ni wa kuridhisa maana yake siyo mzuri na Demokrasia ni ya mashaka/ujanjaujanja(Flawed Democracy)
2. Ureno Demokrasia ni ya Mashaka/Ujanjaujanja
3.Uhispania Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa kuridhisha(Satisfactory) , siyo mzuri
4. Uingereza Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa kuridhisha (Satisfactory) na siyo mzuri
5. Marekani Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa Kuridhisha na Siyo Mzuri, Demokrasia ni ya Mashaka/Ujanjaujanja (Flawed Democracy).

Zaidi soma :https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_freedom_indices
NB: 1. Satisfactory ni Daraja C. Maana yake nchi wanachama wa EU na Marekani kwa mujibu wa ripoti hii hazina madaraja ya A wala B Kwenye kuheshimu Uhuru wa Vyombo vya Habari na Demokrasia.
2. Ni wazi Taarifa hii imeandaliwa na Tasisi za Ulaya, hivyo kuna mambo mengi wamefumbia MACHO vinginevyo kungekuwa na Madudu Mengi sana.
3. Hakuna nchi ya Afrika iliyopewa hati safi hata moja kwenye ripoti hii, je ni kweli kwamba Nchi zote za Afrika hakuna haki?
Mnaoendelea kuuunga mkono Mabeberu endleeni, tutaelewana tu.

MUHIMU: Yote wanayotutuhumu nayo yeneywe ndiyo ya Kwanza na yemeongezea na Ushoga na Usagaji, yanataka kutulazimisha tufanane kwa mambo ya kishenzi. Tukatae Ushoga, Usagaji.
Lkn wao siyo ombaomba kama nyinyi
 
Ripoti ya Taasisi Mbalimbali zisizo za Kiserikali Duniani kuhusu Uhuru wa Vyombo vya Habari na Demokrasia inaonesha:
1, Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini Ufaransa ni wa kuridhisa maana yake siyo mzuri na Demokrasia ni ya mashaka/ujanjaujanja(Flawed Democracy)
2. Ureno Demokrasia ni ya Mashaka/Ujanjaujanja
3.Uhispania Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa kuridhisha(Satisfactory) , siyo mzuri
4. Uingereza Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa kuridhisha (Satisfactory) na siyo mzuri
5. Marekani Uhuru wa Vyombo vya Habari ni wa Kuridhisha na Siyo Mzuri, Demokrasia ni ya Mashaka/Ujanjaujanja (Flawed Democracy).

Zaidi soma :https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_freedom_indices
NB: 1. Satisfactory ni Daraja C. Maana yake nchi wanachama wa EU na Marekani kwa mujibu wa ripoti hii hazina madaraja ya A wala B Kwenye kuheshimu Uhuru wa Vyombo vya Habari na Demokrasia.
2. Ni wazi Taarifa hii imeandaliwa na Tasisi za Ulaya, hivyo kuna mambo mengi wamefumbia MACHO vinginevyo kungekuwa na Madudu Mengi sana.
3. Hakuna nchi ya Afrika iliyopewa hati safi hata moja kwenye ripoti hii, je ni kweli kwamba Nchi zote za Afrika hakuna haki?
Mnaoendelea kuuunga mkono Mabeberu endleeni, tutaelewana tu.

MUHIMU: Yote wanayotutuhumu nayo yeneywe ndiyo ya Kwanza na yemeongezea na Ushoga na Usagaji, yanataka kutulazimisha tufanane kwa mambo ya kishenzi. Tukatae Ushoga, Usagaji.
Naona sindano inawaingia vema na dawa itafanya vema na huo ukichaa wenu utapona
 
Hivi kwa nini wanahabari wanataka kuwa huru? Kwa wao kuwa huru, si kukanyaga uhuru wa watu wengine? Kwa nini wanataka kuwa kundi maalumu ambalo haligusiki, halishauriki, halipingwi n.k? Wao ni nani hasa hadi waombe kupewa uhuru usio na mipaka?

Naamini leo ntapata majibh
Kamuulize huyo kichaa wenu asiye shaurika
 
Nimetoa mfano tu nikiwa na maana hakuna uhuru usio na mipaka! Ukiangalia Snowden alivujisha habari za wamarekani kuwa dukuwa viongozi wa EU ambapo kudukuwa ni kosa lakini wamarekani wakachukia wanamsaka ili wampoteze wapo wengi tu ulaya wamepotezwa lakini hakuna hatua zozote zimechukuliwa na hao EU! Double standard tu!
Marekani siyo ombaomba kama nyinyi mnajifanya kiburi wakati hmna vyenu kazi kuomba tu
 
Urusi mpinzani wa Putin alipigwa risasi wakati akivuka daraja.Kashoggi ni mwandishi wa habari aliyeuawa kikatili zaidi kuwahi kutokea na bado hao wazungu unaowalamba miguu wanawatetea wahusika wa mauaji kisa kulinda biashara.
Ona sasa... labda ndo majibu aliyonayo mwenzako chizcom hayo!!!

Unanitajia Urusi wakati kila mfuatiliaji wa siasa za kimataifa anafahamu Urusi ni nchi inayokandamiza demokrasia!!

Unanitajia Kashoggi aliyeuawa na taifa Kiarabu linaloongoza kwa ukandamizaji wa haki za binadamu huku mauaji hayo yakifanyika Uturuki, nchi yenye rekodi safi kabisa za ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru wa habari!!

And look at my post, nimeanza na maneno KATI YA HIZO!

"Kati ya hizo" kwa maana, Mleta Mada kataja nchi ambazo ndo kwanza uhuru wa habari na demokrasia zimeonekana just zipo kwenye Kiwango cha Kuridhisha, yaani "satisfactory"! Na ndio maana nikamwambia, ingawaje kwa vigezo zinaoonekana just satisfactory, lakini zipo far better na ndipo nikataka anitajie kati ya hizo ni zipi....

Sasa rudi kwenye mfano wako... Russia, Turkey, Saudi Arabia zimekuwa rated vipi!!!

Kwa kuangalia hayo, bila shaka hivi sasa utafahamu kwamba mimi unayedhani ni Mlamba Miguu ya Wazungu afadhali naelewa ninachokisema wakati wewe unayedhani sio mramba miguu unashindwa kuielewa hata post fupi isiyofikisha hata maneno 200... na huo ndio mtaji wa CCM; yaani watu kama nyinyi msiolewa!!!
 
Back
Top Bottom