FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Ile ajali ya pikipiki na rav4 mlimani city areas tarehe 25-12-2010 ilitwaa uhai wa kijana mwenzetu imanuel mwaikasu (mtoto wa retired jaji mwaikasu) , kwa wale waliosoma mbeya day 1987 watamkumbuka alipokuwa form one na wale wa ifunda tech 1988-90.
Mazishi ni segerea roman catholic kuanzia saa nne asubuhi.
Rest in peace bro imma mwaikasu
Mazishi ni segerea roman catholic kuanzia saa nne asubuhi.
Rest in peace bro imma mwaikasu