Nyota wa muziki wa Pop, Rihanna amekumbwa na skendo kubwa baada ya picha zake nane za utupu kuvuja na kusambaa kwenye internet. Picha hizo inahisiwa chanzo cha kuvuja kwake ni mpenzi wake wa zamani Chris Brown.
Picha hizo ambazo zimesambaa kwa kasi duniani usiku wa kuamkia leo inasemekana zilipigwa wakati nyota huyo wa muziki alipokuwa kwenye ziara ya kimuziki.
Mojawapo ya picha hizo zinamuonyesha mwanaume anayesemekana kuwa ni Chris Brown akiwa amevalishwa chupi ya kike kichwani yenye rangi ya pinki.
Picha nyingine inamuonyesha mwanamke anayeaminika kuwa ni Rihanna akiwa bafuni huku kukiwa na maandishi kwenye kioo cha bafuni yanayosema "I Love You, I Miss You - Robyn".
Robyn ndio jina halisi la Rihanna.
Picha zingine zinaonyesha Rihanna akiwa mtupu kabisa huku akionyesha mali zake alizo nazo kwenye kioo.
Wanasheria wa kampuni ya lebo ya muziki ya Rihanna, Island Def Jam Music Group, inasemekana walizitumia barua tovuti zote zilizoweka hewani picha hizo wakiwaomba waziondoe.
Kampuni hiyo ilisema picha hizo zinavunja haki za msingi za Rihanna.
Barua hizo hazikuthibitisha au kukanusha kuwa picha hizo ni za Rihanna.
Skendo hilo la Rihanna limeibuka ikiwa ni siku chache baada ya picha za utupu za mwanamuziki mwingine wa kike wa Marekani wa muziki wa R&B, Cassie kuvuja kwenye internet.
Source: Nifahamishe.com
Full story na picha hizo za Rihanna gonga hapa
http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=1954030&&Cat=8
Picha hizo ambazo zimesambaa kwa kasi duniani usiku wa kuamkia leo inasemekana zilipigwa wakati nyota huyo wa muziki alipokuwa kwenye ziara ya kimuziki.
Mojawapo ya picha hizo zinamuonyesha mwanaume anayesemekana kuwa ni Chris Brown akiwa amevalishwa chupi ya kike kichwani yenye rangi ya pinki.
Picha nyingine inamuonyesha mwanamke anayeaminika kuwa ni Rihanna akiwa bafuni huku kukiwa na maandishi kwenye kioo cha bafuni yanayosema "I Love You, I Miss You - Robyn".
Robyn ndio jina halisi la Rihanna.
Picha zingine zinaonyesha Rihanna akiwa mtupu kabisa huku akionyesha mali zake alizo nazo kwenye kioo.
Wanasheria wa kampuni ya lebo ya muziki ya Rihanna, Island Def Jam Music Group, inasemekana walizitumia barua tovuti zote zilizoweka hewani picha hizo wakiwaomba waziondoe.
Kampuni hiyo ilisema picha hizo zinavunja haki za msingi za Rihanna.
Barua hizo hazikuthibitisha au kukanusha kuwa picha hizo ni za Rihanna.
Skendo hilo la Rihanna limeibuka ikiwa ni siku chache baada ya picha za utupu za mwanamuziki mwingine wa kike wa Marekani wa muziki wa R&B, Cassie kuvuja kwenye internet.
Source: Nifahamishe.com
Full story na picha hizo za Rihanna gonga hapa
http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=1954030&&Cat=8