engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Kijana hawezi fanya lolote lile,watu wana DATA za kufa mtu,akikurupuka tu imekula kwake,yaani unafikilia kuwa Dr Slaa atoe kitu ktk jamii bila kuwa na uhakika nacho? hiyo haipo sina chama ila namwamini sana Dr slaa huwa akurupuki,so Kijana hawezi,hatoweza na hatojaribu kufanya hivyo kwani akijaribu tu vitawekwa wazi hata visivyotakiwa kuwa wazi kuanzia zile mali za Arusha hadi Dodoma hahahahahahahahahahahahaha