Ridhiwani utaumbuka wewe ni billionea na fisadi,utajiri ulioupata umeupatajepataje ndani ya mwaka mmoja ni millionea,ebu tuambie kuna mwanasheria gani ndani ya miaka mi2 tu akawa bilionea na hizo fedha umezipataje? Weka vielezo vyote,maghorofa yako ya magomeni, mikocheni, oysterbay, masaki, arusha, iringa, pia weka wazi semi trailer 100 umezitoa wapi?
Asas, lake oil, machimbo ya mchanga na mawe Iringa hela metoa wapi?? Kwa nini ujawashtaki kama ulivyoahidi ndani ya wiki 2? Kama ushafuta ushaiidi wa mali zako au uliowamilikisha tutaanza na wao hizo mali wamepata wapi na wawe na vielelezo vyote, hadi TRA tutaenda tujue kama kweli walilipa kodi kama hawajalipa tunawafungulia kesi ya kuujumu uchumi
Nimemsikia JK akisema kuwa matajiri nao wachunguzwe utajiri wao wameupataje,Ridhiwani sikui kama utapona katika hili.
yaani utaweza kweli kutoa hesabu ya mali zako(to give account of your money?)....
nakushauri ungepotezea tu hawa akina slaa hauwawezi...