peck
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 220
- 27
Tumesikia mengi sana maovu ya nchi yetu lakini yamekuwa yakiisha bila watanzania kufahamu yameishaje, mfano: zile pesa za richmond, epa, kusafirishwa kwa wanyama nje ya nchi, kuteswa kwa dr ulimboka, na mambo mengine mengi ambayo tungependa tusikie muendelezo wake ila haiko hivyo.
Rai kwa waandishi wa habari tunaomba sasa iwe basi jamani tupatieni mwendelezo wa habari hizi binafsi napenda nipate mwendelezo wa dr ulimboka na hili la marehemu Daudi mwangosi, mpaka yatakapoishia
Rai kwa waandishi wa habari tunaomba sasa iwe basi jamani tupatieni mwendelezo wa habari hizi binafsi napenda nipate mwendelezo wa dr ulimboka na hili la marehemu Daudi mwangosi, mpaka yatakapoishia