Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #101
Ama kweli weye mwana mpotevu. Wewe ndo umethibitishiwa na hao watu hatukatai. Sasa wewe unafikiri kwa kusema hivyo tu inatosha kututhibitishia sisi wenye akili zetui timamu. Lete documentation au any sort of proof kama wafanyavyo wenzako la sivyo mi naita hiyo ni vapour na mara zote hupita na upepo tu
kila kitu hupita kama upepo Tanzania hii,
pia hulazimishwi kukubali, just shake ur head before use