Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Wadau, taarifa from well placed source zinaonyesha kwamba recent moves za UVCCM kutoa matamko kadhaa, hasa la kuvunja bodi ya mkopo ni maelekezo rasmi toka juu na kwamba bodi itakapovunjwa au kufanyiwa reshuffle, serikali ya CCM ipate support toka kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ambao inawachukulia sasa kama kundi linaloipinga kwa nguvu zote...zaidi ni kwamba kuna nguvu kubwa sana ya pesa inayotumika sasa kuwahonga vijana wanaojiita wanamapinduzi toka vyuo mbalimbali nchini ili waingie kwenye mkakati wa kuchota akili za wenzao kufanikisha lengo la CCM..