Mtangazaji mahiri wa Clouds FM ,REGINA MWALEKWA, ameaga resmi leo asbh hii, huku akibubujikwa na machozi ya Furaha kuwa anaiga familia ya Clouds FM na kuhamia BBC!
Binafsi namshukuru Mungu kwa mafanikio yake, ila zaidi nilijua Kiswahili fasaha kupitia yeye toka akiwa Radio One!
Mungu akutangulie huku uendako Dada Regina, kaiwakilishe Tanzania vyema, hususan tasnia ya habari!
Binafsi namshukuru Mungu kwa mafanikio yake, ila zaidi nilijua Kiswahili fasaha kupitia yeye toka akiwa Radio One!
Mungu akutangulie huku uendako Dada Regina, kaiwakilishe Tanzania vyema, hususan tasnia ya habari!