east and west germany,can you tell me of one single union in history where citizens were consulted before consumating the union? In history?
east and west germany,can you tell me of one single union in history where citizens were consulted before consumating the union? In history?
Can you tell me of one single union in history where citizens were consulted before consumating the union? In history?
Naomba yeyote anayejua mmungano ulioundwa ukadumu kwa kushirkisha watu. USA, RUSSIA, UK nk people were beatern to the union. People were never consulted in the creation of our countries by colonialists. People are only consulted to legitimise the union. The existence of the Union will not depend on "consulting people" but on legitmising it.[/QUO
Mkuu hata wanafasalfasa kina Plato walikiri wengi huo hawaoni njia sahihi! wale wachache waliojaliwa uwezo wa kuona mbele lazima wawaongoze wale wasioweza kwa hiari ama kwa laima. Wengi wetu ni wafuasi ama wa Yesu ama Mohamad, hawa ndiyo tunaamini Mwenyezi aliwafunuliwa wao kwa ajili ya wengi na tunafuata bila kudai mambo ya kushirikishwa! hata kwenye siasa vivyo hivyo.
Naomba yeyote anayejua mmungano ulioundwa ukadumu kwa kushirkisha watu. USA, RUSSIA, UK nk people were beatern to the union. People were never consulted in the creation of our countries by colonialists. People are only consulted to legitimise the union. The existence of the Union will not depend on "consulting people" but on legitmising it.
We supported Biafra (under Nyerere) Southern Sudan, East Timor, Kosovo for self determination
From Zanzibar owned forums the only thing they are talking about is how they would free themselves from the shackels of the mainland
It might not be the next 5 or 10 years but lets not fool ourselves, this Union was never there in the first place, citizens from both countries were never consulted, no one knows the articles and memorandum of the Union, Mainlanders are fed up of top up Zanzibaris Income Support, Zanzibaris are fed up with the medling from the mainland, Its a marriage that has reached reached its end and funny enough the young Zanzibaris and Mainlanders are fed up with politicians not being upfront with them on this matter, only few have dared to speak the unspeakable...former President Aboud Jumbe, Professor Haroub Otham, Professor Issa Shivji and one and only Tindu Lisu of CHADEMA
Young Zanzibaris do not trust the current CUF and CCM leadership (Maalim Seif and his CCM Cronies) to deliver them Independence I think there is always a way out of the Union...maybe free and fair referendum on the subject.
Can we discuss this issue (referendum without patronizing mainlanders or Zanzibaris) in JF Style of (matured and Great thinkers manner)?
We supported Biafra (under Nyerere) Southern Sudan, East Timor, Kosovo for self determination
From Zanzibar owned forums the only thing they are talking about is how they would free themselves from the shackels of the mainland
It might not be the next 5 or 10 years but lets not fool ourselves, this Union was never there in the first place, citizens from both countries were never consulted, no one knows the articles and memorandum of the Union, Mainlanders are fed up of top up Zanzibaris Income Support, Zanzibaris are fed up with the medling from the mainland, Its a marriage that has reached reached its end and funny enough the young Zanzibaris and Mainlanders are fed up with politicians not being upfront with them on this matter, only few have dared to speak the unspeakable...former President Aboud Jumbe, Professor Haroub Otham, Professor Issa Shivji and one and only Tindu Lisu of CHADEMA
Young Zanzibaris do not trust the current CUF and CCM leadership (Maalim Seif and his CCM Cronies) to deliver them Independence I think there is always a way out of the Union...maybe free and fair referendum on the subject.
Can we discuss this issue (referendum without patronizing mainlanders or Zanzibaris) in JF Style of (matured and Great thinkers manner)?
we supported biafra (under nyerere) southern sudan, east timor, kosovo for self determination
from zanzibar owned forums the only thing they are talking about is how they would free themselves from the shackels of the mainland
it might not be the next 5 or 10 years but lets not fool ourselves, this union was never there in the first place, citizens from both countries were never consulted, no one knows the articles and memorandum of the union, mainlanders are fed up of top up zanzibaris income support, zanzibaris are fed up with the medling from the mainland, its a marriage that has reached reached its end and funny enough the young zanzibaris and mainlanders are fed up with politicians not being upfront with them on this matter, only few have dared to speak the unspeakable...former president aboud jumbe, professor haroub otham, professor issa shivji and one and only tindu lisu of chadema
young zanzibaris do not trust the current cuf and ccm leadership (maalim seif and his ccm cronies) to deliver them independence i think there is always a way out of the union...maybe free and fair referendum on the subject.
Can we discuss this issue (referendum without patronizing mainlanders or zanzibaris) in jf style of (matured and great thinkers manner)?
Can you tell me of one single union in history where citizens were consulted before consumating the union? In history?
Tatizo lenu vijana mnashindwa kabisa kutofautisha UHURU wa WANANCHI na UHURU wa BENDERA. Tanzania (Nyerere) alishabikia UHURU wa wananchi wa BIAFRA ambao walitengwa ktk maendeleo, hawakuwa na haki sawa na Waningeria wengine ndani ya nchi yao hivyo haijalishi kama mkoloni ni mzungu au mtu mweusi lakini hakuwapa support Biafra kwa sababu ya mipaka na kupeperusha Bendera yao bali kama njia ya wao kuwa huru kutokana na kukandamizwa.
Tuache Unafiki na hasa wa hawa viongozi wa Zanzibar ambao wanaendeleza madai ya UHuru wa bendra kuwa msingi wa kero zao. Wazanzibar hawatengwi iwe bara au mahala popote Tanzania wanaishi kwa haki sawa kabisa na Wabara...Na ningewaomba sana jamaa na ndugu zangu vijana wa Kizanzibar kukumbuka tu ya kwamba hata wakati wa Mtume Muhammad (SAW) walipigana vita ku free WATU waliokuwa wametawaliwa na kunyanyaswa (to liberate the oppressed)...
Na ndio asili ya Mapinduzi hata ktk nchi za Kiafrika, Asia na dunaini kote - Free from oppression ndio imezaa Freedom na sii kutazama mipaka ya nchi na kumezwa kwake, hakuna hata hadithi moja inayozungumzia kuikomboa ardhi ya Saudia isipokuwa WATU waliokuwa utumwani na ndio maana walipigana wao kwa wao ndani ya mipaka yao..
Ni jambo jingine kabisa kupigania identity ya Zanzibar na uhuru wake na kujaribu kuitumia dini kukidhi matakwa ya kinafiki kama haya. Mnaitaka Zanzibar huru ya Sultan na waziri mkuu Shamte iwekeni wazi ifahamike kama ilivyo, lakini hata siku moja msitake kutumia oppression kama kisingizio cha madai haya wakati hakuna ushahidi hata mmoja ambao mnaweza kuuweka hapa kuonyesha dhulma wanayoipata Wazanzibar dhidi ya Wabara. Huu sii Uislaam bali ni Unafiki!
Lakini sisi wapemba pia tunataka kisiwa chetu hatutaki kutawaliwa na waunguja daima.....
Tunaomba katika referendum hiyo watuulize wapemba kama tunataka kubaki na waunguja
Kwa hiyo nyinyi Tanganyika mko kwenye Muungano kuwasaidia Wazanzibar tu?
Sisi watu wa kusini tunataka kuanzisha nchi yetu, itaitwa The Isolated Republic of SONGEA, with effect from 2015! Tumechoka kutengwa kimaendeleo!
Na sisi watu wa mikoa ya kusini yaani mtwara na lindi na pwani bila kusahau visiwa vya Mafia tumechoka kutawaliwa na watu wa kaskazini na lake zote.
Tunaomba referendum hiyo watuulize kama tunataka tujiunge na Wakaskazi au tujiunge na msumbiji.