Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
interesting....
Mkandara in action.. unajua uko paranoid sana. wewe wapi katika madai yao wazanzibar walieleza wanataka sultan na shamte warudi?hizo i idea zako wewe tu na kila mjadala ambao unahusu Zanzibar wewe basi utaleta Usultani na Shamte! move on Bro! tuko 2012 na siyo 60's tena.hiyo ya kung'ang'ania point moja kila wakati inaonyesha jinsi gani huna sensible arguments. nimeshawahi kukuambia huko nyuma ya kuwa huijui Zanzibar lakini unataka uonekani kama unaijua.Asilimia kubwa sana ya wazanzibar Wanakubali kabisa mapinduzi ya 64 lazima yatokee ima ya umwagaji wa damu au na siyo ya umwagaji wa damu lakini lazima yatokee,lakini kinachowaliza zaidi wazanzibari ni kwa nini baada kufanyika mapinduzi ambayo yaliacha vilio vingi sana na watu kupoteza malizao jamaa zao(waarabu na waafrika) ili kuondosha matabaka na unyonyaji zanzibar na unaenda kugawa uhuru huo kwa Tanganyika na kuwa ndiyo muamuzi wa mambo ya Zanzibar.sasa hapo kuna tofauti gani na Usultani.Sasa wanzazibar wanataka ku control their own destiny kama watauwana au vp lakini maamuzi hayatoki dodoma na usifikirie hizi ni kelele la mlango tu.. kwani hizi harakati zina gain momentum kila leo.Mwisho wacha kuwataja Sultani na Shamte.. wakati wao umepita tafuta kitu chengine cha kuzungumza ili ki support points zako
Bahati mbaya madaraka sina. Tujaribu kuuvunjs japo kwa 1 year wazenj waone joto yake kisha tuurudishe.
Bwana Sanga, sisi ni nchi ndogo sana kumudu hayo ma dual and multiple institutions mengi mengi (mabaraza ya mawaziri ya huku na kule na Muungano na mahakama za huku na kule na Muungano mabunge ya huku na kule na Muungano marais na makamu wa Rais huku na kule na Muungano, hatuwezi, tunaongeza ukubwa wa serikali wa bure, ni gharama! Kwa nini hatuna uchungu na nchi yetu jamani, tunataka tuwaachie watoto na wajukuu zetu nchi yenye madeni yasiyolipika?Mimi sitaki muungano uvunjike, ila sijui mimi ni mjinga; sielewi kwa nini hakuna serikali ya Tanganyika, na baraza la mawaziri ri wa Tanganyika, na baraza la wawakilishi la Tanganyika. Mfano waziri wa nishati na madini ni wa Tanganyika na sio wa Jamhuri ya muungano. Lakini anaitwa wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lipojadili bajeti ya wizara hii wazenji wanatakiwa watoke bungeni kwa sabau suala hili haliwahusu, lakini wanabaki, sijui kwa maslahi ya nani. Sielewi kabisa.
Nna uhakika huu Muungano ukivunjika, Zanzibar itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo kwa muda mfupi sana, Muungano wa lazima umewadumaza sana kimaendeleo, na hiyo ni kwa makusudi kabisa.
Tunawaomba wazanzibari sana tena sana huu muungano tukiuvunja wafanye haraka kuja kuwachukua hao wapemba waliojazana kariakoo(including bhakresa) bila kumsahau huyo mzee wenu mwenye wake wawili anaofanya nao kazi kila kukicha plus huyu waziri wa mambo ya ndani asie na tija nahodha......mtuachie tanganyika yetuuuu plzzz.