mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
wanajamii nawasalim wote kwa ujumla nikiwa naimani tumejaliwa kuiona siku hii nyingine tena, jamani mie nakabiliwa na tatizo la kutokwa na vipele mara baada ya kunyoa ndevu na hata studio pia nikinyoa natokwa na vipele.
Yaani mpaka inafikia wakati naamua kuwa kama Osama lakini mpenzi wangu hapendi niwe na mandevu namna ile naombeni ushauri wenu jamani maana naimani humu ndani wako wetu wenye ujuzi ambao wako tayari kushare na wengine katika mambo yanayotukabili kila siku. Nawasilisha
Yaani mpaka inafikia wakati naamua kuwa kama Osama lakini mpenzi wangu hapendi niwe na mandevu namna ile naombeni ushauri wenu jamani maana naimani humu ndani wako wetu wenye ujuzi ambao wako tayari kushare na wengine katika mambo yanayotukabili kila siku. Nawasilisha