Re: Moyo

Bayo

Senior Member
Jul 2, 2009
195
34
sijawahi kuwa na matatizo ya moyo kabla, lakin sa hv nina kama wiki kuna muda moyo wangu unakwenda mbio, nakuwa kama napumua kwa kasi hvi yaana kama nataka kufaint kabisa. Inatokana na nini?
 
sijawahi kuwa na matatizo ya moyo kabla, lakin sa hv nina kama wiki kuna muda moyo wangu unakwenda mbio, nakuwa kama napumua kwa kasi hvi yaana kama nataka kufaint kabisa. Inatokana na nini?
Inatokana na wewe kusubiri kiu ndipo unywe maji, si unaona hata bustani tunamwagilia maji asubuhi na siyo mchana jua likiwa kali?. www.maajabuyamaji2.artisteer.net
 
Inatokana na wewe kusubiri kiu ndipo unywe maji, si unaona hata bustani tunamwagilia maji asubuhi na siyo mchana jua likiwa kali?. www.maajabuyamaji2.artisteer.net

Thanks bro, ntacheki na hii kitu... Ila mbon maji mi nagonga sana aisee almost 1.5 litres per day. Thanks anywaya
 
Jaribu kutumia Dawa hizi zangu huenda zikakusaidia hayo matatizo yako na ukapona inshallah pole sana

Apples: Matunda haya yana wingi wa potassium na phosphurus na kiwango kidogo cha sodium, miaka ya nyuma walikuwa wakitumia tunda hili pamoja na asali kwa ajili ya matatizo ya moyo, kuwa na wingi wa potassium katika mwili husaidia kuepukana na maradhi ya moyo kwahivo mtu mwenye maradhi ya moyo ni vizuri kula matunda haya asubuhi na jioni na uzuri zaidi akila pamoja na asali.

Grapes(zabibu): Zabibu au juice ya zabibu husaidia sana katika maumivu ya moyo yaani cardiac pain. Maradhi ya moyo yanaweza kuondoka kwa mgonjwa akitumia zabibu kwa muda.

Orange(machungwa): Juice ya machungwa ukichanganya na asali husaidia kuondoa maumivu ya moyo kama coronary ischaemia.

Garlic(kitunguu saum):Kitunguu saum kinalinda upatikanaji wa heart attack, husaidia kuondoa mafuta katika mishipa ya moyo pia husaidia artiries kupeleka damu upesi (artiries huwa nzito na hii hupelekea kupatikana kwa high blood perssure na heart attack) Mgonjwa wa moyo akitumia garlic kwa muda maradhi hayo humuondokea atumie kila siku asubuhi chembe 2 na usiku chembe 2.

Onion(kitunguu maji): Onion kazi yake ni kama ya kitunguu saum .

Wheat(ngano): Majani ya ngano husaidia moyo kufanya kazi yake pia husaidia na mapafu, pia capillary hufanya kazi uzuri zaidi na kuongeza damu.

Honey (Asali):Asali ni dawa bora kulikoni zote nilizozitaja hapo juu. Mwenye maradhi ya moyo anywe kila siku glasi ya maji achanganye na asali pamoja na maji ya ndimu na pia anywe kama ataamka usiku na aendelee kufanya hivi kadri awezavyo na Inshallah maradhi hayo yatamuondoka.
 
Inawezekana ni anxiety tu,ukiwa na stress kuna wakati hii hali inatokea. Angalia blood pressure kama iko kawaida, jaribu kuangalia inakua mazingira gani ama wakati gani ambapo hali hii inatokea. Pata mapumziko ya kutosha,kunywa maji ya kutosha na kula matunda kwa wingi kama ulivyoshauriwa hapo juu. Ikiendelea muone dr kwa msaada zaidi.
 
Hebu nenda hospital wewe acha kufuata tiba za kienyeji hiyo ni dalili ya heart failure kwa hiyo nenda hospital ili upate matibabu mapema kabla haijawa chronic
 
Jaribu kutumia Dawa hizi zangu huenda zikakusaidia hayo matatizo yako na ukapona inshallah pole sana

Apples: Matunda haya yana wingi wa potassium na phosphurus na kiwango kidogo cha sodium, miaka ya nyuma walikuwa wakitumia tunda hili pamoja na asali kwa ajili ya matatizo ya moyo, kuwa na wingi wa potassium katika mwili husaidia kuepukana na maradhi ya moyo kwahivo mtu mwenye maradhi ya moyo ni vizuri kula matunda haya asubuhi na jioni na uzuri zaidi akila pamoja na asali.

Grapes(zabibu): Zabibu au juice ya zabibu husaidia sana katika maumivu ya moyo yaani cardiac pain. Maradhi ya moyo yanaweza kuondoka kwa mgonjwa akitumia zabibu kwa muda.

Orange(machungwa): Juice ya machungwa ukichanganya na asali husaidia kuondoa maumivu ya moyo kama coronary ischaemia.

Garlic(kitunguu saum):Kitunguu saum kinalinda upatikanaji wa heart attack, husaidia kuondoa mafuta katika mishipa ya moyo pia husaidia artiries kupeleka damu upesi (artiries huwa nzito na hii hupelekea kupatikana kwa high blood perssure na heart attack) Mgonjwa wa moyo akitumia garlic kwa muda maradhi hayo humuondokea atumie kila siku asubuhi chembe 2 na usiku chembe 2.

Onion(kitunguu maji): Onion kazi yake ni kama ya kitunguu saum .

Wheat(ngano): Majani ya ngano husaidia moyo kufanya kazi yake pia husaidia na mapafu, pia capillary hufanya kazi uzuri zaidi na kuongeza damu.

Honey (Asali):Asali ni dawa bora kulikoni zote nilizozitaja hapo juu. Mwenye maradhi ya moyo anywe kila siku glasi ya maji achanganye na asali pamoja na maji ya ndimu na pia anywe kama ataamka usiku na aendelee kufanya hivi kadri awezavyo na Inshallah maradhi hayo yatamuondoka.

Thanx mzizi mkavu... Uko juu sana mzeee.
 
Hebu nenda hospital wewe acha kufuata tiba za kienyeji hiyo ni dalili ya heart failure kwa hiyo nenda hospital ili upate matibabu mapema kabla haijawa chronic

Asante kwa ushaur wako.. uko ryt pia
 
Inawezekana ni anxiety tu,ukiwa na stress kuna wakati hii hali inatokea. Angalia blood pressure kama iko kawaida, jaribu kuangalia inakua mazingira gani ama wakati gani ambapo hali hii inatokea. Pata mapumziko ya kutosha,kunywa maji ya kutosha na kula matunda kwa wingi kama ulivyoshauriwa hapo juu. Ikiendelea muone dr kwa msaada zaidi.

Tanx brother, i appreciate
 
Hizi anazotoa mzizi mkavu ni njia ambazo zitumike wakati ukofiti yaani tatizo kabla halijaanza kuanza kutumia sasa wakati tatizo linaanza kuonekana unajua hizi natural products zinaact taratibu kiasi kwamba haziwezi kuinvert ile problem. Sasa watu wengi huwa wanachelewa kwenye dawa za kienyeji weeeeeeeeee akiona amezunguka sehemu nyingi ameshindwa kwenda hospital ni last options kwa watz wengi laymen na nonmedical personels matokeo yake utibuji wake unakuwa mgum na mwisho hawa watu wanaishia kufa. Coz hata hizi dawa za kienyeji sometimes zinoongeza sumu kiasi cha kuicomplicate tatizo coz hakuna specific doses. Kwa hiyo nakushauri uende hospital ili upime pressure, Dr asikilize mapigo ya moyo na kufanya vipimo vingine kujua kama mafuta yameongezelka mwilini n.k. Daima ushauri mwingi unatolewa lakin choice ya mtumiaji ni yake inapompendeza kazi kwako boss. Mimi ni mdau ambaye siamini dawa za kienyeji nimeshatumia sana dawa za kienyeji hazijawahi nisaidia
 
Hizi anazotoa mzizi mkavu ni njia ambazo zitumike wakati ukofiti yaani tatizo kabla halijaanza kuanza kutumia sasa wakati tatizo linaanza kuonekana unajua hizi natural products zinaact taratibu kiasi kwamba haziwezi kuinvert ile problem. Sasa watu wengi huwa wanachelewa kwenye dawa za kienyeji weeeeeeeeee akiona amezunguka sehemu nyingi ameshindwa kwenda hospital ni last options kwa watz wengi laymen na nonmedical personels matokeo yake utibuji wake unakuwa mgum na mwisho hawa watu wanaishia kufa. Coz hata hizi dawa za kienyeji sometimes zinoongeza sumu kiasi cha kuicomplicate tatizo coz hakuna specific doses. Kwa hiyo nakushauri uende hospital ili upime pressure, Dr asikilize mapigo ya moyo na kufanya vipimo vingine kujua kama mafuta yameongezelka mwilini n.k. Daima ushauri mwingi unatolewa lakin choice ya mtumiaji ni yake inapompendeza kazi kwako boss. Mimi ni mdau ambaye siamini dawa za kienyeji nimeshatumia sana dawa za kienyeji hazijawahi nisaidia

Thanx mkuu..kumuona docta ni muhimu sana. Lakini tiba ya vyakula pia ni nzur kama itatumika awali
 
Hebu nenda hospital wewe acha kufuata tiba za kienyeji hiyo ni dalili ya heart failure kwa hiyo nenda hospital ili upate matibabu mapema kabla haijawa chronic
Mkuu usiponde Madawa za Kienyeji kuna Maradhi Mengi hayatibiki Ma hospitalini lakini yanatibika kwa Dawa za kienyeji kwa Mfano Ugonjwa wa kifafa hautibiki hospitalini, Dawa za kienyeji zinatibu ugonjwa wa Kifafa,Pumu, Ugonjwa wa Wendawazimu

,Ugonjwa wa Sukari,Ugonjwa wa Vidonda vya tumbo, ugonjwa wa Stress, anxiety, na Kansa na yapo maradhi mengi tu hayatibiki Ma Hospitalini
lakini ukitumia Dawa za miti shamba unapona wewe mpe ushauri usiponde Dawa za Mitishamba Tafadhali sana.Dawa za Mitishamba hazina Madhara yoyote Dawa za Ma hospitalini zina Madhara mengi katika mwili wa binadamu.Upo pamoja na mimi Mkuu?
 
Mkuu usiponde Madawa za Kienyeji kuna Maradhi Mengi hayatibiki Ma hospitalini lakini yanatibika kwa Dawa za kienyeji kwa Mfano Ugonjwa wa kifafa hautibiki hospitalini, Dawa za kienyeji zinatibu ugonjwa wa Kifafa,Pumu, Ugonjwa wa Wendawazimu

,Ugonjwa wa Sukari,Ugonjwa wa Vidonda vya tumbo, ugonjwa wa Stress, anxiety, na Kansa na yapo maradhi mengi tu hayatibiki Ma Hospitalini
lakini ukitumia Dawa za miti shamba unapona wewe mpe ushauri usiponde Dawa za Mitishamba Tafadhali sana.Dawa za Mitishamba hazina Madhara yoyote Dawa za Ma hospitalini zina Madhara mengi katika mwili wa binadamu.Upo pamoja na mimi Mkuu?

Uko deep mzizi
 
Back
Top Bottom