mkumbamasaka
Member
- Nov 1, 2010
- 15
- 7
Hodi wadau wapendwa,
kilingeni naingia,
mgeni katika jamvi,
pasi na hofu yoyote,
kuwa mmoja kati yenu,
mawazo kuchangia,
ustawi wa jamii kuneemeka.
Mkumbamasaka jina langu,
kukokotoa yalojificha,
hadharani kuyaanika,
uozo kuufichua,
nyuma kamwe kutorudi,
ni mimi wenu katika jamii
kilingeni naingia,
mgeni katika jamvi,
pasi na hofu yoyote,
kuwa mmoja kati yenu,
mawazo kuchangia,
ustawi wa jamii kuneemeka.
Mkumbamasaka jina langu,
kukokotoa yalojificha,
hadharani kuyaanika,
uozo kuufichua,
nyuma kamwe kutorudi,
ni mimi wenu katika jamii