Mimi nina 50 inakuwaje? betri masaa mangapi?Ninauza simu aina ya Blackberry Bold 9700, ikiwa kwenye hali nzuri kabisa kama inavyoonekana ktk picha. Inakuja na charger yake. Bei Shillingi elfu 80 tu. inapatikana Dar. Piga no 0717 441184
Betri iko poa, ina last charge siku nzima. Elfu 50 iko chini sana, ukilinganisha na hali ya cm, leta 70 mwisho nikuachie!
Simu bado ipo, iko katika hali nzuri kabisa, pia ina original blackberry cover yake! Karibuni!