Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
hivi mnaonaje RC's wakawa wanachaguliwa na wananchi wa mkoa husika na wawe wazawa au wana asili ya mkoa husika? nadhani watajitahidi kuhakikisha maendeleo mikoani mwao.kwa maana, wengi wetu hapa hata ukiuliza kazi za mkuu wa mkoa hatuzijui tunazijua za wabunge na watawala wengine wa mikoa.hii inatokana na michango yao midogo kwenye mikoa husika.na uchaguzi uwe labda after 5 years.
wengi wao huwa wanaishi Dar es salaam na kuacha mikoa yao.naomba mnisaidie, hivi dito alikua anashughuli gani dar alipopata ajali? mi nadhani wengi huchaguliwa kiswahiba, mnalionaje hili?
wengi wao huwa wanaishi Dar es salaam na kuacha mikoa yao.naomba mnisaidie, hivi dito alikua anashughuli gani dar alipopata ajali? mi nadhani wengi huchaguliwa kiswahiba, mnalionaje hili?