Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Gotcha you Mwafrika wa Kike,
Swala ninalosema ni hili: JF sio FBI. Sisi tunajadili hoja zenye kutusaidia. Sh. 20m kwa mkuu wa mkoa si hela ya kumwinua FBI nyumbani kwake ili kuchunguza amezipata wapi? Na si kazi ya JF kuhoji matumizi ya kila mtu unless, kama nilivyosema tuwe na hakika au angalau wasi wasi wa matumizi hayo
OK mimi mwezi uliopita nilitoa mchango kwenye NGO moja sh. 18m. Sasa mtaniandika JF. Mimi ni mwanacham tu (wala sio kiongozi) wa CUF.
Tena hasa hasa ukiwa kiongozi wa serikali basi ujue standard zinakuwa raised a lil higher! Kama watu hawawezi kuuliza kuwa kiongozi wa serikali ametoa wapi milioni 20 za kuchangia ccm basi ujue kuwa mambo mengi yatapita chini ya rug!
Hili ni very simpo, ielezwe tu kuwa pesa aliyotoa kama ni yake au ni ya serikali na baada ya hapo utajua umuhimu wa hili swali. Kama akijibu kuwa hiyo pesa ni ya serikali basi kuna kesi kubwa hapa ya kutumia pesa ya serikali kwa mambo ya chama. Kama ni yake binafsi basi ielezwe wazi kama biashara zake zinaweza kuwa na uwezo wa kutoa hiyo pesa?!
Unajua JK bado hajashughulikia wauza madawa ya kulevya, hii ni sign kubwa sana ya dealers kama unakuwa na pesa ambazo hazina business au chanzo cha mapata cha kujustfy hizo pesa!
Hili swali ni muhimu, kuhusu hizo mill 18 just wait for the tone maana nitakushukia huko muda si mrefu na mapolisi kama mia 100 toka kwa Tibaigana.....lol