RC Makonda: Ambaye hatakuwa na kadi ya bima, hataweza kupata huduma ya afya katika hospitali

Wamefanikiwa kuweka maji kwenye umeme, Ving'amuzi kwenye umeme, Tickes za michezo na hata za baadhi ya usafiri/mwendo kasi n.k kwenye umeme, na hata umeme wenyewe kwenye umeme, bank nazo zimeunganishwa na mifumo ya mitandao ya simu yani unatoa pesa na kuweka pesa bank kiganjani mwako electronicaly, siku hizi kuna baadhi ya sheli za mafuta zina kadi maalumu tu huitaji kulipa keshi ni mwendo wa electronicaly..

Na sasa wanataka kuweka afya kwenye umeme,, mjue a cashless society naiona ipo mlangoni mdogo mdogo ndipo tunapoelekea kwasababu Biblia inaniambia kwenye zama za apocalyptic maarifa yataongezeka sana teknolojia itaonekana kuwa ndiyo chombo cha kumrahisishia mwanadamu majukumu yake but namna ya kukitumia!! ndiyo gogoro mana shetani anajijua ana muda mchache sana.. ole wa nchi.

huko ndiko tunakoelekea kutimizwa kwa unabii juu ya ujio wa chapa ya mnyama taratibu,,, hakuna jipya bali unatakiwa kutazama kwa jicho la rohoni kuhusu hizi mambo mana haya mambo huwa yanakuja ama kutimia ktk mazoelea ama kawaida au desturi zetu kuja kushtuka ni watu wapo mtegoni...

hii ya afya kutiwa kwenye umeme ni an introduction tu.... kiashiria cha mwelekeo wa jahazi... sasa linakwenda wap!!!?

A cashless society describes an economic state whereby financial transactions are not conducted with money in the form of physical banknotes or coins, but rather through the transfer of digital information (usually an electronic representation of money) between the transacting parties.[1] Cashless societies have existed, based on barter and other methods of exchange, and cashless transactions have also become possible using digital currencies such as bitcoin.

Sasa kama wataweka afya kwenye umeme mnafikiri hapo kuna nini???
 
Tulio na bima tunajuta..karibuni wagn kilio cha wengi hakina maumivu
Aisee..!! Kuna usumbufu mno unapatikana kuhusu bima, nadhani tunataka kuiga ulimwengu wa kwanza ilhali sisi ni bado sana.

Shida ipo hapo.
 
8ab8834c1af1915f3f92e5e832d839db.jpg
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema Serikali itaandaa mpango wa matibabu kwa kutumia kadi ya bima ya afya, kwa wakazi wa Dar, katika Hospitali zote za umma, Mwananchi ambaye hatakuwa na kadi ya bima, hataweza kupata huduma ya afya katika Hospitali za umma popote Dar es salaam.

Chanzo: Mwananchi
666 yaja kijanja ,,, myaonapo hayo changamkeni mkaviinue vichwa vyenu maana saa ya kuja kwake mwana Wa Adam imekaribia
 
Kwahiyo mtu akija kusalimia Dar na akaugua ghafla, na hana uwezo wa kwenda hospitali za binafsi, ataachwa afe?
 
Hahahahha...umenikumbusha juzi nilimkuta mzee mmoja mstaafu amekaa kwenye kiduka cha mangi saa tatu asubuhi anagonga balimi.
Nikamwambia na mimi nimestaafu...akasema eeewaaaa...karibu.
:D mtaani kwetu kule kunduchi tunakamua na wajeda kama kawa mapeema sana asubuhi ya saa1.30 utakuta tumejazana tunakula gambe maana wanasema maduka mpaka saa 4 sasa huwa tunaanza kunywa weee hakuna cha usafi wa kufyagia wala kukata nyasi wale wanazurura kukamata walevi wanaishiaga kuangalia kwa uwoga uwoga tu
 
8ab8834c1af1915f3f92e5e832d839db.jpg
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema Serikali itaandaa mpango wa matibabu kwa kutumia kadi ya bima ya afya, kwa wakazi wa Dar, katika Hospitali zote za umma, Mwananchi ambaye hatakuwa na kadi ya bima, hataweza kupata huduma ya afya katika Hospitali za umma popote Dar es salaam.

Chanzo: Mwananchi
Hapa ndipo nachukiaga sasa
 
huyu na serikali yake ni kama wana minyoo kwenye bongo zao!!
 
baada ya kuangalia matibabu kwanza RC unasema Bima kwanza ili mtu atibiwe ile PF 3 ya police imerudi mfumo tofauti inatakiwa kurahisisha mazingira ya kupata matibabu bora na si kubana ili iweje sasa kwa Wananchi wako...
 
:D mtaani kwetu kule kunduchi tunakamua na wajeda kama kawa mapeema sana asubuhi ya saa1.30 utakuta tumejazana tunakula gambe maana wanasema maduka mpaka saa 4 sasa huwa tunaanza kunywa weee hakuna cha usafi wa kufyagia wala kukata nyasi wale wanazurura kukamata walevi wanaishiaga kuangalia kwa uwoga uwoga tu
Hakuna kitu cha hovyo kama siku ya kufanya usafi....upuuzi wa kiwango cha nguruwe...kabla hajachinjwa na kukaangwa lakini...tehe tehee
 
Ivi hawa viongozi wakimaliza huo muda wao wa kuongoza ivi wataendelea kuish bongo au wataenda libya kukaa huko? Maana wanayo tutamkia dhahili wanatuonea sana wa tz
 
8ab8834c1af1915f3f92e5e832d839db.jpg
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema Serikali itaandaa mpango wa matibabu kwa kutumia kadi ya bima ya afya, kwa wakazi wa Dar, katika Hospitali zote za umma, Mwananchi ambaye hatakuwa na kadi ya bima, hataweza kupata huduma ya afya katika Hospitali za umma popote Dar es salaam.

Chanzo: Mwananchi
Wakazi wa Dar wenye shughuli ya klueleweka ni wachache sana hivyo hili zoezi halitawezekana. Hebu fikiria mhudumu wa bar anahama hata bar 5 kwa mwaka, mmachinga hana makazi ya kudumu. Hawa atawapatiaje kadi? Au atakuwa anawalipia mwenyewe.
 
Mh mkuu wa mkoa stand ya Ubungo inahitaji uamuzi wa haraka maana kwa sasa ni kama zizi la ng'ombe, Stand ya Ubungo ni lango la kuingilia jiji lako aka "Jiji la Makonda".. Ni vizuri stand mpya ikajengwa na watu wakahamia huko haraka pale pakafanya kazi nyingine maana naamini ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato..
 
Back
Top Bottom