Siku utakayoenda kule hakikisha unakuwa kama wao kwa kila kitu, na usibebe chochote cha thamani, wewe jibebe buku tatu yako chini piga yebo zilizochoka mkononi sigara hata kama huvuti. Demu utapiga wa buku bao mojaAh yan ndio nilikua nataka nipite uwanja wa fisi mana napasikia tu..
Sa itakuaje ?