Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,273
- 42,211
Habari wanajamvi
Kwanza nichukue fursa hii kumpongeza sana RC Makalla kwa kauli yake leo juu ya uhalifu na ujambazi unao endelea jiji la Dare-es -saaam kwa kuwataka jeshi la polisi kuwapora haraka silaha majambazi kabla hawajazitumia.
Ni ukweli ulio wazi majambazi wameanza kutishia amani na usalama wa jiji la Dares-es-salaam yani utafikiri walikuwa likizo sasa wamerudi kuendelea na kazi na hawa watu ni majambazi na jeshi la polisi haliwezi kutumia demokrasia kupambana nao bali dawa yao ni moto tuuu.
Nimpongeze wazi kabisa Amos Makalla kwa kumwambia wazi kamanda Wambura kuwa watu wamekuja na moto lazima wakabiliwe kwa moto kabisa tena mkali na Wambura ameambiwa awape show kweli kweli.
Watanzania lazima wajue kuwa majambazi hawawezi kukabiliwa kwa njia ya demokrasia maana na maneno matupu bali vitendo na hawatakiwi kukamatwa bali kupigwa shaba maana wao wanaua hadharani kabisa na kuleta hofu kubwa.
Mimi sikubaliani kabisa na huu mtindo wa kusema Wambura amekamata majambazi watano.... hivi ana wakamata wanini kwanini asimalizane nao uko uko field, yani hawa majambazi tufanye kazi ya kuwalipia ugali tena wabure?
Wasalaam
Kwanza nichukue fursa hii kumpongeza sana RC Makalla kwa kauli yake leo juu ya uhalifu na ujambazi unao endelea jiji la Dare-es -saaam kwa kuwataka jeshi la polisi kuwapora haraka silaha majambazi kabla hawajazitumia.
Ni ukweli ulio wazi majambazi wameanza kutishia amani na usalama wa jiji la Dares-es-salaam yani utafikiri walikuwa likizo sasa wamerudi kuendelea na kazi na hawa watu ni majambazi na jeshi la polisi haliwezi kutumia demokrasia kupambana nao bali dawa yao ni moto tuuu.
Nimpongeze wazi kabisa Amos Makalla kwa kumwambia wazi kamanda Wambura kuwa watu wamekuja na moto lazima wakabiliwe kwa moto kabisa tena mkali na Wambura ameambiwa awape show kweli kweli.
Watanzania lazima wajue kuwa majambazi hawawezi kukabiliwa kwa njia ya demokrasia maana na maneno matupu bali vitendo na hawatakiwi kukamatwa bali kupigwa shaba maana wao wanaua hadharani kabisa na kuleta hofu kubwa.
Mimi sikubaliani kabisa na huu mtindo wa kusema Wambura amekamata majambazi watano.... hivi ana wakamata wanini kwanini asimalizane nao uko uko field, yani hawa majambazi tufanye kazi ya kuwalipia ugali tena wabure?
Wasalaam