RC Makalla achana na Makonda vinginevyo utakwenda na maji

Mkuu unaongeaje sasa.
Maagizo sasa atatoa Makal, na Makonda itabidi azingatie maagizo ya chama.

Makonda ni limbukeni mshamba asiyeelewa hata mifumo ya uongozi na utawala.

Kiutawala, hakuna kiongozi yeyote wa Serikali ambaye hakuomba ridhaa ya chama kuipata nafasi aliyo nayo, ambaye directly anawajibika kwa chama. Mkuu wa mkoa, Waziri, mkuu wa Wilaya, makamishna, wakurugenzi wa taasisi mbalimbali na wafanyakazi wa umma wote hawawajibiki kwa chama, bali kwa mamlaka za uteuzi (kwa wateuliea) na kwa mamlaka za ajira kwa waajiriwa wote.

Rais na wabunge, wanawajibika kwa vyama vyao na umma kwa sababu waliteuliwa na vyama vyao halafu wakachaguliwa na umma. Kama kuna mteuliwa au mwajiriwa yeyote anaenda tofauti, chama au umma unamwajibisha au kumlalamikia aliyewateua au kuwaajiri.

Lakini Makonda, nadhani kwa sababu ya ulimbukeni anaparamia tu kila kitu. Mtadhangaa hata huko Arusha, siku atatembelrwa na Waziri, atataka kumwajibisha.
 
Mkuu unaongeaje sasa.
Maagizo sasa atatoa Makal, na Makonda itabidi azingatie maagizo ya chama.

Makonda ni limbukeni mshamba asiyeelewa hata mifumo ya uongozi na utawala.

Kiutawala, hakuna kiongozi yeyote wa Serikali ambaye hakuomba ridhaa ya chama kuipata nafasi aliyo nayo, ambaye directly anawajibika kwa chama. Mkuu wa mkoa, Waziri, mkuu wa Wilaya, makamishna, wakurugenzi wa taasisi mbalimbali na wafanyakazi wa umma wote hawawajibiki kwa chama, bali kwa mamlaka za uteuzi (kwa wateuliea) na kwa mamlaka za ajira kwa waajiriwa wote.

Rais na wabunge, wanawajibika kwa vyama vyao na umma kwa sababu waliteuliwa na vyama vyao halafu wakachaguliwa na umma. Kama kuna mteuliwa au mwajiriwa yeyote anaenda tofauti, chama au umma unamwajibisha au kumlalamikia aliyewateua au kuwaajiri.

Lakini Makonda, nadhani kwa sababu ya ulimbukeni anaparamia tu kila kitu. Mtadhangaa hata huko Arusha, siku atatembelrwa na Waziri, atataka kumwajibisha.
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Nimeshangaa sana kuona watu wenye uelewa wa kutosha waki-"like" hili Bandiko.
Najiuliza, Watanzania akili zetu zimechukuliwa na Ibilisi gani?
Kwa nini watu wamekuwa Bendera Fata Upepo, BFU?
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Unatetemekea mtu badala ya kufanya kazi ulotumwa na alokuteua.... Jinga nyie mnamwonaga makonda kama mumu wenu!!! Mbaaavu
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Makalla alitambua mapema.
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Toka lini nazi ikashindana na jiwe? Makonda chaliiiii
 
Back
Top Bottom