RC Halima Dedengo: Mwanafunzi ukipata mimba mshitakiwa wa kwanza unakuwa ni wewe

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,829
4,583
Imezoeleka katika suala la mimba mashuleni anayepewa adhabu kisheria Huwa ni mwanaume lakini kwa mkuu wa mkoa wa Singida Halima Omari Dedengo haiwi hivyo , amesema mwanafunzi wakike atakayebeba ujauzito atakuwa mshtakiwa wa kwanza na aliyempa mimba anakuwa mshtakiwa wa pili na wote watapelekwa jela.

Ameyasema hayo katika shule ya Sekondari kitaraka iliyopo halmashauri ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida wakati akiwa katika ziara ya kikazi alipotembelea kuona ujenzi wa nyumba za walimu.

Aidha mkuu wa mkoa ametoa wiki moja kwa mkurugenzi kuhakikisha kunakuwa na mwalimu wa kike mmoja wa kuanzia.

Kwa upande wake Dkt. Fatuma Mganga katibu tawala mkoa wa Singida akamtaka Mkurugenzi kuhakikisha kila mwanafunzi anapewa mti wakupanda Ili kuendelea kutunza mazingira.
 
Imezoeleka katika suala la mimba mashuleni anayepewa adhabu kisheria Huwa ni mwanaume lakini kwa mkuu wa mkoa wa Singida Halima Omari Dedengo haiwi hivyo , amesema mwanafunzi wakike atakayebeba ujauzito atakuwa mshtakiwa wa kwanza na aliyempa mimba anakuwa mshtakiwa wa pili na wote watapelekwa jela.

Ameyasema hayo katika shule ya Sekondari kitaraka iliyopo halmashauri ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida wakati akiwa katika ziara ya kikazi alipotembelea kuona ujenzi wa nyumba za walimu.

Aidha mkuu wa mkoa ametoa wiki moja kwa mkurugenzi kuhakikisha kunakuwa na mwalimu wa kike mmoja wa kuanzia.

Kwa upande wake Dkt. Fatuma Mganga katibu tawala mkoa wa Singida akamtaka Mkurugenzi kuhakikisha kila mwanafunzi anapewa mti wakupanda Ili kuendelea kutunza mazingira.
Apeleke ujinga wake huko
 
Imezoeleka katika suala la mimba mashuleni anayepewa adhabu kisheria Huwa ni mwanaume lakini kwa mkuu wa mkoa wa Singida Halima Omari Dedengo haiwi hivyo , amesema mwanafunzi wakike atakayebeba ujauzito atakuwa mshtakiwa wa kwanza na aliyempa mimba anakuwa mshtakiwa wa pili na wote watapelekwa jela.

Ameyasema hayo katika shule ya Sekondari kitaraka iliyopo halmashauri ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida wakati akiwa katika ziara ya kikazi alipotembelea kuona ujenzi wa nyumba za walimu.

Aidha mkuu wa mkoa ametoa wiki moja kwa mkurugenzi kuhakikisha kunakuwa na mwalimu wa kike mmoja wa kuanzia.

Kwa upande wake Dkt. Fatuma Mganga katibu tawala mkoa wa Singida akamtaka Mkurugenzi kuhakikisha kila mwanafunzi anapewa mti wakupanda Ili kuendelea kutunza mazingira.
Mliwaruhusu wasome baada ya kujifungua. Kaeni kwa kutulia
 
Back
Top Bottom