Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,829
- 4,583
Ameyasema hayo katika shule ya Sekondari kitaraka iliyopo halmashauri ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida wakati akiwa katika ziara ya kikazi alipotembelea kuona ujenzi wa nyumba za walimu.
Aidha mkuu wa mkoa ametoa wiki moja kwa mkurugenzi kuhakikisha kunakuwa na mwalimu wa kike mmoja wa kuanzia.
Kwa upande wake Dkt. Fatuma Mganga katibu tawala mkoa wa Singida akamtaka Mkurugenzi kuhakikisha kila mwanafunzi anapewa mti wakupanda Ili kuendelea kutunza mazingira.