Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Hao wasi wajomba zetu ni akina nani hasa?
Wewe babu mtu wa ajabu sana, Kwani Lissu kasemaje? Kasema mkataba haufai inabidi kurekebishwa, kila mtu wengi wetu ndiyo tunavyosem. investor apewe lakini maslahi yetu yalindwe.Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Hivyo mleta mada umepotosha!.
P
Dada mkubwa huyu Malima nadhani atakuwa kama yale ya Sabayakwanini atenguliwe na anatowa elimu kama walivyotakiwa serikali yote, wawaelimishe wasioelewa.
Wale wamelipwa na waarabuZembwela anasikiliza kama mtu vile.
Baadae anaanza kubwatuka makelele na Maulid Kitenge kuutetea mkataba wa DP World, unafiki mkubwa.
Mungu ambariki sanaAkizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
Unaanza kugeuza maneno yako sasa, muda wote wewe umen’angania ati mkatana hauna matatizo na hakuna makosa, Kwa mara ya kwanza sasa unakubali kuwa tusipigwe. Hata Lisu na Shivji wanasema hivyo hivyo, tusipigwe, tusahihisheKaongea vizuri kabisa. "Tutazame tutakapoingia ubia hili linafaa hili halifai...".
Na hayo ndiyo serikali yoe inasema hivyo, kila mtu kinamna ya kuongea kwake".
Ubia bado, mkataba bado. ndiyo yote hayo yanapitiwa kwa kina kwa sasa na wataalaam wetu. Heko Malima.
Amezunguka tuMsijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.
He is old schoolCompletely fake likely your dancing ageing tunes
Hata viongozi nao wameshachoka.Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
Hata kusoma kuelewa huwezi unawaza chukiEti waarabu wajomba zake..si akaishi nao sasa..tuacheni rasilimali zetu hatavizazi vyetu vitatakuja kusahihisha pale mlipo shindwa
Pascal NjaaaNimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Hivyo mleta mada umepotosha!.
P
Ameunganishwa behewa moja na ali karume!Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe
Mh cjui kama ataendelea kuwepo kweny wazifa wake! Btw ni mmoja wa wachache walioona something wrong kweny mkataba.Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
Mmh kazi hiyoAkizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe
Mbna kama una mihemkoEti waarabu wajomba zake..si akaishi nao sasa..tuacheni rasilimali zetu hatavizazi vyetu vitatakuja kusahihisha pale mlipo shindwa
Na hakuna mtu anayepinga wajomba zako kupewa Bamdari ila tunachopinga ni hiyo IGA ya ubaguzi na unyonyajiMsijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.
Akafafanua kwamba wale sio wajomba zetu.. na muhim ni mkataba wenye maslahi kwa taifa na si vinginevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Paskali ifike sehemu uwe na uwezo kuelewa kauli za kiutu uzima.Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.
Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.
P
Tupigwe mara ngapiNimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.
Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.
P
Mkataba umeshaafungwa tiari nduguMsijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.