Ray Kigosi alamba shavu Rwanda

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,416
647x613xRay-Kigosi.jpg.pagespeed.ic.bfhcoHg4lL.jpg



Msanii wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni ametimkia nchini Rwanda baada ya kualikwa nchini humo kwa ajili ya kuandaa filamu maalum ambayo itashirikisha wasanii wa Tanzania na Rwanda.

"Nipo nchini Rwanda nimekuja kushoot movie inayoshirikisha nchi mbili Tanzania na Rwanda ni msanii pekee toka Tanzania niliyechaguliwa kuja kufanya movie hapa nchini Rwanda nina imani sitowaangusha Watanzania wenzangu hapa ni kazi tu."

Ray pia amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii pekee kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa kushiriki katika filamu inayounganisha nchi mbili ya Rwanda na Tanzania.

Source: BongoMovie
 
ajitahidi japo afikie nusu ya kile alichokuwa akikifanya marehemu Kanumba
Yap ni kweli mkuu.

Katika vijana machipukizi kabisa wa Kaole ya Mzee Kipara walikuwa ni Ray,Kanumba na Tinno, ila naona tangu Kanumba avute hawa jamaa wameshindwa kabisa kuonyesha ukali wao na kila ambacho mzee Kipara aliwafundisha kufanya.

Ray ukiangalia movie zake mbili tatu ana swaga zake ambazo zinajirudia rudia mno, kitu kinachoharibu sana movie zake, ni kama anakuwa anakariri script badala ya kuzielewa.

Ajifunze kwa kina Masanja na Joti, wao hawakariri script, wanazielewa na wanaziigiza.
 
Yap ni kweli mkuu.

Katika vijana machipukizi kabisa wa Kaole ya Mzee Kipara walikuwa ni Ray,Kanumba na Tinno, ila naona tangu Kanumba avute hawa jamaa wameshindwa kabisa kuonyesha ukali wao na kila ambacho mzee Kipara aliwafundisha kufanya.

Ray ukiangalia movie zake mbili tatu ana swaga zake ambazo zinajirudia rudia mno, kitu kinachoharibu sana movie zake, ni kama anakuwa anakariri script badala ya kuzielewa.

Ajifunze kwa kina Masanja na Joti, wao hawakariri script, wanazielewa na wanaziigiza.

Mzee wa, "PUMBAVUUUU"
 
647x613xRay-Kigosi.jpg.pagespeed.ic.bfhcoHg4lL.jpg



Msanii wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni ametimkia nchini Rwanda baada ya kualikwa nchini humo kwa ajili ya kuandaa filamu maalum ambayo itashirikisha wasanii wa Tanzania na Rwanda.

"Nipo nchini Rwanda nimekuja kushoot movie inayoshirikisha nchi mbili Tanzania na Rwanda ni msanii pekee toka Tanzania niliyechaguliwa kuja kufanya movie hapa nchini Rwanda nina imani sitowaangusha Watanzania wenzangu hapa ni kazi tu."

Ray pia amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii pekee kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa kushiriki katika filamu inayounganisha nchi mbili ya Rwanda na Tanzania.

Source: BongoMovie
2ebe2042b789196283d48398065f8822.jpg
Sawa....
 
Back
Top Bottom