yani ukizilinganisha hizi picha huwezi kuamini kama ni binti wa ki-islam! kamshushia hadhi babake.
Wengi wa vijana wa Kitanzania wakiwa ughaibuni misingi ya imani zao huwekwa kando na utamaduni wa kigeni hutamalaki fikra zao...
kizunguzungu nadhani sijui afiche wap sura ile
avue tu haina haja
form mtu ndio nini?
Ndivyo alivyo, sura ka kinyesi.huyu dada mwenye nguo nyeupe yupo kama anaona kinyesi mbele yake
Hiwezijua ya wazazieKwa mtindo huu mama anapokuwa hayupo baba ataacha kuomba mzigo wa mwanae kweli! Hebu ona mapaja hayo ya binti mbele ya babake mzazi!
Akivua nitakuvisha wewe usijali
Nina wasiwasi na hili, hii picha niliikuta hapa jf na sina uhakika kama ilipigwa kabla au baada ya ushiriki wa miss temeke!
Ndivyo alivyo, sura ka kinyesi.
Huyu Bibi Bomba lazima arudishe taji ili apewe Binti anayestahili. Na suala la Abbas Mtemvu lisiingizwe hapa kwa kisingizio chochote, labda kama atakuwa alihusika katika kufoji hivyo vyeti.
Katika hili sakata lazima kila jiwe lipinduliwe. Na wale matutusa wa RITA waliohusika katika hiyo fojari WAPIGWE TU, maana hakuna namna nyingine...TUMECHOKA! Wahusika wote waburuzwe mahakamani wakanyee debe Segerea au Ukonga.
Kuwa na adabu, Mama Sitti ni mke wa mbunge hebu mpe heshima yake
Astahili yake, mtoto wa Kiislaam aliyelelewa nje ya maadili ya Kiislaam.
Hawana haya wala hawajui vibaya, yeye na wazazi wake:
Tazama huyu baba na mama walivyo hawana haya, mtoto wao anawakalia nusu uchi na wao wako radhi kabisa!
Mababa namna hii ndio sampuli za wanaotembea na mabinti zao na mabinti namna hii ndio wanatembea na baba zao. Hawana soni hata chembe.
Lini picha hii ilipigwa ni irrelevant ; kinachoonekana hapa ni kwamba sio kweli kuwa Abbas Mtenvu alipinga mwanae kuingia kwenye mashindano haya ya urembo!! Abbas Mtemvu alikuwa nyuma ya mwanae toka mashindano yalipoanza huko wilaya ya Temeke hivyo suala la mwanae kumuaibisha kutokana na uswalihina wake sio kweli!!