Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Watu wanaamka alfajiri na mapema kusaka malipo ya 10$ dollars per day na wamechomekea ma suti safi na huko ofisini full majungu na uchawi tu..
in my perspective its better to learn the game and master it.. ukiweza kuwa consinstent with 20$ a day kwa mwaka naamini utakuwa na uwezo wa kukua zaidi siku za mbele..
Tatizo mitaji tu na tamaa za wabongo ndo zinatufelisha yani serous eti mtu unataka kunake life in forex af mtaji wa kujifunzia umeweka dollar 6
Mkuu 20 dollars per day unauhakika n ipo kila.siku sasa forex mkuuu n gambling we try to guess the direction of candlestick based on history si ndo kubet uko kwamba man uu atashinda koz akiwaga old Trafford anakuwaga wa moto jana wakamalia wamekipata cha moto
 
Forex haitak uwe na pesa za kubangaiza .kwa mtazamo wangu mimi kutokana na experience yangu katika soko kwa zaid ya miaka 6 nimegundua ni ngumu forex kukuendeshea maisha kwa asilimia 100 kwaiyo kwa sasa nimekaa pemben nitafute ajira yenye constant flow of salary
Mkuu ,ungeingia kwenye ponzi scheme ambayo inadumu mda mrefu na kupata team kubwa ungepiga commission za kibabe

Yaani ungeweza ingiza hata 6m kwa siku ya commission tu watu wanatajirika vbaya sna ila ni wachache wale ambao walianza mapema
 
Unavyoongea utasema kila siku utawin trades
Ndio maana huyo mdau hapo juu nikamwambia Mimi nimeshatoka huko aliko na nimesha loose Sana kwenye fx yaan zaidi ya Sana lakin saivi alhamdulilah nimesahau drowdowns za hasara ambayo hairudishiki kwa siku. Kifupi wew risk management ndio itakua imekutoa kwenye game na kukimbizana na trades kitu ambacho nimepitia hata Mimi tena nahisi zaidi yako kabisaa.
 
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.

Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.

Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.

Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
Market overanalyzing. Always the Market moves
1.UP
2.DOWN.
3. RANGE or Zigzag.

A. Once you analyse too much you fail.
B. You don't have a single strategy you fail.

C Stick to a single strategy, you can't you fail
N
D. Never ever overtrade or risk too much just 1%per trade is enough... You can't.. you fail.

E. Always lossing trades number is high compared to winning only R: R will save you


F lastly Check the book called "Trade Forex as a business" it will change you completely towards Forex trading and give you more confidence.
 
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.

Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.

Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.

Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
Tafuta mentor
 
Blue is Blue.
 

Attachments

  • Screenshot_20230414-233212.jpg
    Screenshot_20230414-233212.jpg
    54.5 KB · Views: 40
Back
Top Bottom