upworkup
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 853
- 1,123
Kubeti ni vigumu kwa sababu prediction ni nyingi. Forex prediction ni mbili tu buy/sellItoshe kusema forex n kama kubet tu tena kubet kunaweza kiwa rahis kuliko folexi
Kubeti ni vigumu kwa sababu prediction ni nyingi. Forex prediction ni mbili tu buy/sellItoshe kusema forex n kama kubet tu tena kubet kunaweza kiwa rahis kuliko folexi
Unavyoongea utasema kila siku utawin tradesMtu anadharau hio lakin ukikusanya per week ni zaidi ya laki 2 familia Ina kula ugali maisha ya kawaida tu Kuna una ubaya gan kuli kutaka trade moja ikupe dola 20 hio ndio gambling Kama haiendani na mtaji.
Mkuu 20 dollars per day unauhakika n ipo kila.siku sasa forex mkuuu n gambling we try to guess the direction of candlestick based on history si ndo kubet uko kwamba man uu atashinda koz akiwaga old Trafford anakuwaga wa moto jana wakamalia wamekipata cha motoWatu wanaamka alfajiri na mapema kusaka malipo ya 10$ dollars per day na wamechomekea ma suti safi na huko ofisini full majungu na uchawi tu..
in my perspective its better to learn the game and master it.. ukiweza kuwa consinstent with 20$ a day kwa mwaka naamini utakuwa na uwezo wa kukua zaidi siku za mbele..
Tatizo mitaji tu na tamaa za wabongo ndo zinatufelisha yani serous eti mtu unataka kunake life in forex af mtaji wa kujifunzia umeweka dollar 6
Mkuu ,ungeingia kwenye ponzi scheme ambayo inadumu mda mrefu na kupata team kubwa ungepiga commission za kibabeForex haitak uwe na pesa za kubangaiza .kwa mtazamo wangu mimi kutokana na experience yangu katika soko kwa zaid ya miaka 6 nimegundua ni ngumu forex kukuendeshea maisha kwa asilimia 100 kwaiyo kwa sasa nimekaa pemben nitafute ajira yenye constant flow of salary
Ndio maana huyo mdau hapo juu nikamwambia Mimi nimeshatoka huko aliko na nimesha loose Sana kwenye fx yaan zaidi ya Sana lakin saivi alhamdulilah nimesahau drowdowns za hasara ambayo hairudishiki kwa siku. Kifupi wew risk management ndio itakua imekutoa kwenye game na kukimbizana na trades kitu ambacho nimepitia hata Mimi tena nahisi zaidi yako kabisaa.Unavyoongea utasema kila siku utawin trades
Nichek apa 0713968020Naomba u share na mm hayo materials.....niyatupie macho kidg
Ulikua unatrade na mtaji gani mkuu na pair gani.. au uliku unapiga pair zote tuFx ni Gambling nmeacha mwaka jana
TrueUlikua unatrade na mtaji gani mkuu na pair gani.. au uliku unapiga pair zote tu
Mi bunafsi ntrade gold tu na sigusi kitu kingine chochote kile
Market overanalyzing. Always the Market movesBaada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
I'm not sure if you are a six years Forex trader. What were you doing there if you still have this mindset.Mentor kaja kusaka vichwa kwenye huu uzi waambieni vijana ukwel fx sio mgod wa pesa kama ambavyo wengi hudham ebu tutafute kaz za kueleweka fx sio unyama
Kwenye fx ushatengeneza dola ngap toka uanze?
Kwenye fx ushatengeneza dola ngap toka uanze?
Update
View attachment 2586214
CADCHF inaikaribia TP
Nilitoa hii signal kwenye channel yangu.
View attachment 2586218
Napia nilipost hapa | Only Live Trades
View attachment 2586219
=
View attachment 2586226
DA ilimchanganya kijanaunajiita labia majora una akili timamu kweli wewe!?
Tafuta mentorBaada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora