o
shukran mkuu kidogo umenipa mwanga..but kwa hizo chochoro ulizonipa naona bora nimsindikize tuu,na hivi wskiripoti mashuleni wanatakiwa result slip au?na kuna malipo yoyote mkiripoti kwa shule za serikali
mkuu nauli ya dar to mbeya 40000 na mbeya to sumbawanga 25000 mkuu