RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

Anawashukuru wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, makamanda wa polisi na wilaya na viongozi wa vijiji na mitaa
 
Tunahitaji sana kupata hiyo rasmu ili kuichambua , na sio kuchambua hii summary, maana tunaweza kupotosha hivyo tume sambazeni haraka rasmu ili ijulikane
 
Kwa muhtasari tu mpaka hapa wamejitahidi sana, sijasikia kuhusu mahakama ya kadhi au OIC coz haya ni mambo ya kupingwa haraka sana.
Katika muhtasari huu mambo ambayo napendekeza tuyapinge ni;
1. Wabunge awe mmoja tu kila jimbo na si wawili kama walivyosema. Coz hii itaongeza ukubwa wa bunge na ghalama za kuliendesha zitakuwa kubwa sana na watanzania kuendelea kuwa masikini.
2. Mawaziri wasiteuliwe moja kwa moja na Rais bali watume maombi ya kuomba nafasi hizo na wasiwe wanasiasa au wasiwe na vyama vyao ila waende kama watanzania, na wafanyiwe open interview watakaoshinda ndo rais awatangaze na bunge lithibitishe.
3. Muungano uwe wa serikali tatu yaani JMT, Zanzibar na Tanzania bara au Tanganyika. Na rais wa JMT ndo awe na mamlaka ya nchi.
Kwa sasa nimeyaona haya naomba kuwasilisha

Hapo kwenye mawaziri nakupinga kidogo. Raisi lazima awezekupanga safu yake. Muhimu ni bunge liweze kuthibitisha uteuzi huo. Sasa hata akishindwa kuteua mawaziri itakuwaje hapo?
 
Serikali iwe ndogo. Serikali ya muungano itakuwa na mawaziri wasiozidi 15
  1. Bunge la muungano litakuwa na watu 75 yaani 20 from zanzibar, 50 from tanzania bara na 5 wa kuteuliwa. Tanzania bara kutakuwa na majimbo 25 tu na kila jimbo litatoa wabunge wawili yaani mwanaume na mwanamke
zanz wamependelewa sana, libidi wawe na wabunge wa 5 tu sio 20!!
 
Kwa kweli mapendekezo mengi ya tume ni mazuri mno ila sina uhakika kama huko kwenye mabaraza ya katiba kama watayapitisha kama yalivyo mana huko kutatangulizwa maslahi ya ccm mbele.
 
Mapendekezo ya wabunge:
Kuwe na makundi mawili:
1. Wa kuchaguliwa jimboni (mmoja mwanamke mwingine mwanamke)

2.Wa kuteuliwa na rais (walemavu)

3.Hakuna viti maalumu

4.Ukomo wa uraisi awamu tatu

5.Hakuna uchaguzi mdogo. nafasi itajazwa na chama kile kile

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Maoni kuhusu

1. huo ni upuuzi......why wa kike na wa kiume.....haya ni masaburi na u-mulugo

2. Ziwepo nafasi za kuteuliwa na Rais lakini isiwe nafasi zote kwenda kwa walemavu may be walemavu wapewe to the maximum of 40% ya wabunge watakaoteuliwa na Rais

3. Misingi ya uwepo wa viti maalum iko pale pale, yote ikiwa uwakilishi wa wananchi kupitia vikundi.....tatizo Wanasiasa waka-abuse huu mfumo.......Hapa idadi ndio ipungue na sio kufuta

4. It is utterly ridiculous kuwa na vipindi vitatu vya Urais.....ni Upuuzi.......vipindi viwili vinatosha....na pia marupurupu ya ustaafu ya U-Rais yapunguzwe

5.Hapo haki ya demokrasia ya uchaguzi inakuwa "imepokwa".......kama mbunge atakuwa amaeondolewa na wananchi.....basi wananchi wapewe nafasi ya kuchagua muwakilishi wao mwingine....kuwepo na mechanism ya wananchi wa jimbo husika kuchangia gharama za uchaguzi
 
Vp hamjaweza kupata hata soft copy wadau tukaanza kuichojoa toka page one mpaka ya mwisho!!!!!!!!!!!
 
Yaani wamependekeza serikali 3
Ya shirikisho...
Ya Tanzania bara...
Ya Zanzibar...

Alafu wakajiamulia kutengeneza katiba ya serikali moja (shirikisho) peke yake!!! Sasa hizo mbili wamemuachia nani?!!! Ebo!
 
Rubbish! Kenye wanafanyaje? Madaraka ya rais kuwa makubwa ndio yamefanya Rais awateue watu (wakuu wa wilaya etc) wasio na sifa! Majaji wa UPE tumewaona na wapo kama alivyowataja Lissu! Rubbish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

.
Madaraka ya rais ndiyo yaliyasababisha nchi kuwa masikini japo tuna rasilimali nyingi. Tukitaka katiba yenye ufanisi katika mageuzi ya kiuchumi ni lazima madaraka ya rais yapunguzwe.
Kuhusu wabunge kuwa wawili katika kila jimbo huu ni uvivu wa kufikiri. Tanzania hatuhitaji kutoa hisani kwa watu wasio walemavu kwa gharama kubwa namna hiyo. Wabunge wapambane wake kwa waume na mwisho wa siku apatikane mshindi mmoja kuwakilisha jimbo.
.
 
Warioba! Rais ateue majaji then ukampinge kwa majaji wake hapo supreme court? hivi wamezingatia nini? kama bunge litakwa kama hili la ndioooooooooo! Bado hakuna haki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom