RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

Kutakuwa na wabunge wa aina mbili
  • Wa kuchaguliwa
  • wa kuteuliwa ambao watatoka kundi moja tu. nalo ni kundi la walemavu.
  • kila jimbo kuwa na wabunge wawili, wanaume na wanawake
  • ukomo wa ubunge ni miaka 3
  • wananchi kuwa na mamlaka ya kumwondoa mbunge hovyo
  • hakutakuwa na chaguzi ndogo. Ikiwa mbunge atafariki, chama chenye mbunge kitateua mtu
  • spika na naibu spika hawatakuwa wabunge na hawatakuwa wanachama wa chama chochote cha sias

Hii kitu kwa red nimeipenda, shida yake sasa tutashuhudia watakavyouana wao kwa wao ili mmoja apate kuteuliwa, chezeya ubunge weyeee!
 
Kwa hiyo kama katiba hii ikikamilika 2014, uchaguzi wa 2015 utakuwa na katiba mpya kwenye eneo la serikali ya shirikisho peke yake. Uchaguzi wa Tanzania bara na wa Zanzibar utafuata katiba gani?!!!
 
Yaani wamependekeza serikali 3
Ya shirikisho...
Ya Tanzania bara...
Ya Zanzibar...

Alafu wakajiamulia kutengeneza katiba ya serikali moja (shirikisho) peke yake!!! Sasa hizo mbili wamemuachia nani?!!! Ebo!
mkuu hii si ni rasmu!haijapita,unataka kuniambia kama wangekuja na katiba zingine tatu ingeendelea kuwa rasmu au decision!!au mimi ndo sielewi maana ya rasmu!!!
 
This is another useless paper...
Huwezi kupendekeza serikali tatu, alafu ukajiamulia kutengeneza katiba ya serikali moja tu kati ya hizo!!! Ni upuuzi...

kichwa chako ni kidogo umetoka kapa kwenye hii lecture ya leo...pole sana
 
Sasa kama hii katiba ya muungano, ya bara iko wapi? Mbona kama kuna kagiza flani hivi?
 
Kwa hiyo kama katiba hii ikikamilika 2014, uchaguzi wa 2015 utakuwa na katiba mpya kwenye eneo la serikali ya shirikisho peke yake. Uchaguzi wa Tanzania bara na wa Zanzibar utafuata katiba gani?!!!

punguza wehu, tafuta rasimu uisome,mapema sana kutoa povu kama hilo..look at you
 
Wafute kitengo cha usalama wa taifa au kama hawafuti wabadiri jina kiwe usalama wa ccm<uwc>
 
Natamani kujua uteuzi wa majaji na mahakimu! Natamani pia kusikia katiba inasemaje juu ya Muundo wa majeshi yetu na vymbo vya usalama!
Haya yalisemwa soma post zangu , majaji Bung, majeshi ni kamati ya ulinzi na usalama itakayoundwa kikatiba
 
Mi nadhani hii tume ilazimishwe kutengeneza katiba za Tanzania bara na Zanzibar haraka sana, tena kwa gharama zao wenyewe. Haiwezekani watumie hela yote kufanya upuuzi kama huu!!!
 
Hii rasimu ya katiba ni useless
Maana kama inapendekeza serikali tatu, lakini haitoi rasimu ya serikali mbili kati ya hizo, sasa ina kazi gani?!!!

sio useless kwa kuwa ni Tanzania bara tu ndio haina katiba yake na hiki ndicho ambacho watanzania bara watajiamulia wenyewe kama watatumia katiba mama yaani hii ya shirikisho au na wao watengeneze katiba yao kama ilivyo kwa wenzetu wa Zanzibar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom