Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,829
Rashid Shangazi: Katika kipindi cha miezi 9 mamlaka ya kodi imekusanya takribani trilioni 17.2 Ukipiga hesabu ya kila mwezi ni wastani wa trilioni 1.9
Kodi hizi zimekusanywa bila kutumia task force wala bila mtutu wa bunduki.
=====
Hivi kuna kipindi tulikuwa tunakusanya kodi kwa kutumia mjegeje na bado mapato yakawa hafifu? Hizi tozo nahisi kama tumeshikiwa bunduki tusiyoiona😅
Kodi hizi zimekusanywa bila kutumia task force wala bila mtutu wa bunduki.
=====
Hivi kuna kipindi tulikuwa tunakusanya kodi kwa kutumia mjegeje na bado mapato yakawa hafifu? Hizi tozo nahisi kama tumeshikiwa bunduki tusiyoiona😅