Wanasheria na wachambuzi wa siasa nisaidieni kutoa ufafanuzi kwa hili,Hivi ikitokea kwa mfano Mwenyekiti wa Chama tawala kama alivyo J.K.Kikwete ,kutumia nafasi yake kama mwenyekiti wa chama na kufanya kosa lolote la jinai au madai,hapa sheria na mahakama zitakuwa na nafasi gani?.
1.Je sheria itachukua mkondo wake kama ilivyofanya kwa Katibu mwenezi wa ccm mkoa wa Dar-es-Salaam.
2.Je sheria itashindwa kufanya kazi yake kwa sasa kwa kuwa mtuhumiwa anakinga ya uraisi?
Nasema hivi kwa sababu mwaka mmoja uliopita nilikuwa Botswana,kulikuwa na kesi iliyovuta hisia za watu wengi sana ,Kilichotokea ni raisi wa nchi akiwa pia raisi wa chama tawala alimtimua kazi katibu mkuu wa chama kwa madai kuwa alikuwa akimpinga publically kwenye medias.
Kilichofuata ni Katibu huyo kufungua kesi mahakama kuu ya kupinga kufukuzwa kazi,alitumia mawakili maarufu kutoka Afrika kusini huku akipata sapoti kubwa kutoka kwenye medias na wananchi kwa ujumla waliokuwa wakifurika mahakamani,lakini mwisho wa siku katibu mkuu alishindwa kesi with cost,ilitushangaza wengi kwani majaji walisema raisi hawezi kushitakiwa akiwa madarakani..sasa hapa ndio ninauliza hali kama hii ikatokea nyumbani Tanzania treatment yake itakuwaje,..Kumbuka aulizaye ataka kujua.
Nawakilisha
1.Je sheria itachukua mkondo wake kama ilivyofanya kwa Katibu mwenezi wa ccm mkoa wa Dar-es-Salaam.
2.Je sheria itashindwa kufanya kazi yake kwa sasa kwa kuwa mtuhumiwa anakinga ya uraisi?
Nasema hivi kwa sababu mwaka mmoja uliopita nilikuwa Botswana,kulikuwa na kesi iliyovuta hisia za watu wengi sana ,Kilichotokea ni raisi wa nchi akiwa pia raisi wa chama tawala alimtimua kazi katibu mkuu wa chama kwa madai kuwa alikuwa akimpinga publically kwenye medias.
Kilichofuata ni Katibu huyo kufungua kesi mahakama kuu ya kupinga kufukuzwa kazi,alitumia mawakili maarufu kutoka Afrika kusini huku akipata sapoti kubwa kutoka kwenye medias na wananchi kwa ujumla waliokuwa wakifurika mahakamani,lakini mwisho wa siku katibu mkuu alishindwa kesi with cost,ilitushangaza wengi kwani majaji walisema raisi hawezi kushitakiwa akiwa madarakani..sasa hapa ndio ninauliza hali kama hii ikatokea nyumbani Tanzania treatment yake itakuwaje,..Kumbuka aulizaye ataka kujua.
Nawakilisha