Mwananzuoni
JF-Expert Member
- Apr 22, 2009
- 290
- 69
Hivi Kimbisa ni nani?. Hawa ndio wanaomdanganya Rais wa Nchi afanye mambo wasiyohitaji Watanzania.
Mbona wajihami shekhe? Usijali tunayaheshimu mawazo yako. Kuhusu jezi siyo mbaya sana ila ingefaa zaidi kama angepewa ya kina Nsajigwa au Nurdin Bakari kuonesha uzalendo kwa timu ya Masikio oh Sorry nilimaanisha Maximo!Kwanza kabisa napenda kutoa anaglizo... ikiwa unaona nimekurupuka pasipo kufikiri kuandika hii article basi niwie radhi au pengine ni uelewa wangu mdogo wa jinsi mnavyoendesha hii serikali yenu
hawa real wamemuabisha rais wetu...wameshindwa kumtuma hata mwakilishi kukabidhi jezi.....?...ikulu imeshindwa hata kumualika balozi wa Spain...au real wameshindwa kumuomba balozi wao aje kuwawakilisha...we make our self too low guys and cheap.........hakutakiwa kupokea jezi hiyo hadharani..watu wanaweza kufikiri ni sanaa tu...na kuwa kimbisa aliinunua tu kwenye merchandise shop ya real...akaomba isainiwe ...that is a fake propaganda seems!!...wasimuingize rais kwenye mambo contravertial!!
hawa real wamemuabisha rais wetu...wameshindwa kumtuma hata mwakilishi kukabidhi jezi.....?...ikulu imeshindwa hata kumualika balozi wa Spain...au real wameshindwa kumuomba balozi wao aje kuwawakilisha...we make our self too low guys and cheap.........hakutakiwa kupokea jezi hiyo hadharani..watu wanaweza kufikiri ni sanaa tu...na kuwa kimbisa aliinunua tu kwenye merchandise shop ya real...akaomba isainiwe ...that is a fake propaganda seems!!...wasimuingize rais kwenye mambo contravertial!!
- Yaani huyu Rais bwana ninamuonea huruma sana, akibembea makosa, akienda msibani makosa, akisafiri kutafuta misaada makosa, akicheka ooh ni mnyonge, akikasirika ohh muongo, sasa hata kupewa jezi ni breaking news na kuna utata jinsi alivyopewa! Sijui ndio maana ya vyama vingi, loh! huruma kweli hili taifa.
- Ohhh Tanzania, an information starved nation!
FMEs!
Umesahau jingine....akimpa dogo peremende kosa....
Mweeeh hata mimi nimeanza kumhurumia sasa. The guy can't catch a break!
NB: Unyamwezini timu zinazoshindaga hupataga fursa ya kutembele White House na raisi huwaga anazawadiwa jezi ya timu hiyo....
- Yaani huyu Rais bwana ninamuonea huruma sana, akibembea makosa, akienda msibani makosa, akisafiri kutafuta misaada makosa, akicheka ooh ni mnyonge, akikasirika ohh muongo, sasa hata kupewa jezi ni breaking news na kuna utata jinsi alivyopewa! Sijui ndio maana ya vyama vingi, loh! huruma kweli hili taifa.
- Ohhh Tanzania, an information starved nation!
FMEs!
Mkuu FM....Tunapenda rais wetu anapoheshimiwa ..lakini katika hili ...inawezekana kabisa hata ronaldo wala real hawajui kuwa jezi yao amepewa mtu tunayemuheshimu kama rais.....haiwezekani kama kweli waliipa uzito jezi waliyomtumia JK washindwe hata kuiweka hii taarifa kwenye mtandao wao...
Nimetafuta sana kwenye mrandao wa real...lakini habari pekee waliyo nayo juu ya rais wetu..ni ile ya tukio lake kutembelea makao makuu ya real ..mwaka juzi....
News
Results: 1 - 1 de 1
Se busco el termino : jakaya kikwete
ARTICLE - 13/09/2006
- PAGE:
- 1
Noticia;Ilustre visita El Presidente de Tanzania, en el Santiago Bernabéu
......rais ameshawahi kupewa jezi na DROGBA ...Kila mtu alifurahia kwani alikabidhiwa na DROGBA Mwenyewe...
True, afadhali ingekuwa Ronaldo mwenyewe amekuja na kumpa hiyo jezi...
ni shabiki wa madrid - ameahidi kuwaleta bongo kabla ya uchaguzi---
hizo timu zinazoenda white house ni za mexico???
ungeniambia rais wa madrid amekuja kufungua academy bongo alafu akakutana na rais akampa jezi ya madrid ningekuelewa, lakini mkuu wa mko anaacha shughuli zake anaenda kumpa rais jezi....
Mimi nashangaa kabisa. Watu wanatumia pesa za walipa kodi kuandaa sherehe ya kukabidhi jezi.