cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 649
Kumekuwepo na kesi nyingi dhidi ya serikali ktk mahakama/tume za usuluhishi watumishi wakidai kufukuzwa kazi kwa uonevu na hivyo kuhitaji wakulipwa fidia na stahili zao kwa uonevu na udhalilishwaji ambapo serikali inaingia hasara kwa kulipa mamilioni ya fedha lakini waliotumia madarka yao vibaya ama kwa uzembe wao kwa kushindwa kufuata taratibu wakibaki madarakani na kuendelea kuneemea uanagalie upya kwani kama kuna sheria zenye vifungu hivyo kwanini wasifikishwe mahakamani kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na uzembe wao uliopelekea serikali kupata hasara hizo za kulipa mamilioni watumishi walioonewa?
Mh Rais hao nao wanaitia sana hasara serikali kwa kuingiza katika migogoro isiyo ya lazima!!
Mh Rais hao nao wanaitia sana hasara serikali kwa kuingiza katika migogoro isiyo ya lazima!!