mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,845
Mapungufu haya ya Kikatiba ni kwsababu CCM imekua inachukulia mambo muhimu na nyeti ya nchi kama mambo binafsi ya chama badala ya wananchi wote. Kuna matatizo mengi lakini mtu unashangaa mwanasheria mkuu ambaye pia ni jaji anasema hakuna tatizo.
Mkuu, umeeleza vizuri sana kwa upande wangu,,, thanks.