hah ha ha,mimi tofauti na Nape Nnauye bhana ,watu mtakuwa na uhuru wa kutoa madukuduku yenu pia hata bunge nalo litakuwa liveila usije kufungia media hovyohovyo
Naona Ngabu nguvu zimemuishiakwa sasa yeye ndo anaongoza,ila upigaji kura unaendelea
Ningekuchagua Mie!!I am the Boss .....sigombei chochote....
matokeo yoyote yale nitabaki The boss....mshindi asubiri kupokea maagizi tu kutoka kwangu ha haa
Mbona cjatajwa aisee!Ukipewa nafasi ya kuchagua mmoja wa wanachama humu awe Rais wetu,utamchagua nani na kwanini???...kumbuka huu UZI ni ...interesting
Naona Ngabu nguvu zimemuishia
Ila ukitangazwa mshindi hutasusa?Wala hazijaniishia. Nimewasusia mchakato wenu baada ya kuruhusu wabadilisha gia angani.
Ayo tena yametokea wapi jamaan umesema tuchague maraisidada ahsante kwa kupiga kura,umeolewa??
nimeolewa mkuu lubuvanimechomeka tu..maana avatar yako interesting