Kingereza bila hela ni sawa na kupiga kelele.Wakuu,
Katika dhifa ya kitaifa aliyondaliwa Rais wa Ujerumani, Jk kwanini hakuhutubia kwa Kiswahili chetu, ilihali mgeni wake kahutubia kikwao? Wapi kuthamini vya kwetu jama!
Wakuu,
Katika dhifa ya kitaifa aliyondaliwa Rais wa Ujerumani, Jk kwanini hakuhutubia kwa Kiswahili chetu, ilihali mgeni wake kahutubia kikwao? Wapi kuthamini vya kwetu jama!
Mkuu ulishapata kibali cha kuishi nchini? Vipi ikitokea kwa sasa tukaamue urudi kwenu somalia utajisikiaje?Tanzania ndio wenye njaa lazima waongee lugha itakayoeleweka ila bakuli lijaeee
Sijaona tatizo kuongea kiingereza. Tatizo ninaloliona ni sisi Watanzania kukariri kwamba kwasababu iki hivi basi inatakiwa kwenda hivi.
Mkuu ulishapata kibali cha kuishi nchini? Vipi ikitokea kwa sasa tukaamue urudi kwenu somalia utajisikiaje?
Mkuu ulishapata kibali cha kuishi nchini? Vipi ikitokea kwa sasa tukaamue urudi kwenu somalia utajisikiaje?